Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Marahabaaaaaa mdogo wangu!!Madam
Marahabaaaaaa mdogo wangu!!Madam
Basi wengine ukisema usimhug sasa 🙌 utaambiwa una dharau watuDaah kwa kweli tunapata tabu sio kidogo. Mtu akipita tu na kaharufu kake hujakaelewa, unaumwa siku 3 hoi; nyieeee. Wakati mwingine inabidi ujitenge na watu, kuavoid hizo harufu
HehMarahabaaaaaa mdogo wangu!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Mbona mshtuko!!
Unataka nikaibe eeeh??Sasa unaninyima hata nguvu za kuweka picha.
Aah hapana kwa kweli; Mimi nikinusa tu harufu na sielewi namwambia tu mtu asinisogelee. Uzuri wengi wameshanizoea sasaBasi wengine ukisema usimhug sasa 🙌 utaambiwa una dharau watu
Mkuu unatumia dawa gani?Simply tunaita allergic rhinitis
Zaman ilkua mild ila kwa sasa yani mpaka mafuta ya alizeti yani ata harufu ya ⛽Aah hapana kwa kweli; Mimi nikinusa tu harufu na sielewi namwambia tu mtu asinisogelee. Uzuri wengi wameshanizoea sasa
Hio ni allergy matibabu yake makubwa ni kuavoid allergens pili ndo unatumia izi antihistamines kama citrizenMkuu unatumia dawa gani?
Hii shida imenisumbua hadi nimekata tamaa...bado sijaikubali.
Nivea dry impact ni nzuri ati..kwa watu kama sisi.Situmii kinukizi chochote wala mafuta ya kunukia nikimhug mtu ananukia hata kidogo naumwa hapo hapo
CetirizineMkuu unatumia dawa gani?
Hii shida imenisumbua hadi nimekata tamaa...bado sijaikubali.
Mimi mafuta labda VaselineNivea dry impact ni nzuri ati..kwa watu kama sisi.
Dokta wangu alikuwa ananifokea sana..naenda nanukia kama jini..Akasema sasahivi ukija uwe umetumia nivea tu!nyngine achana nazo.
Na mimi siwezi kuacha maana naona hata nusipotumia shida iko palepale
Duuh hatari sanaZaman ilkua mild ila kwa sasa yani mpaka mafuta ya alizeti yani ata harufu ya![]()
Nkionaga bado napigaga prednisone mimi 😁Cetirizine
Loratadine
Aki si nimewamiss!Mi Sijambo…
Mameneja na ma sekretari nao naimani hawajambo..
Mweka hazina sijamuona kitambo 😂
Zinasaidia pia eeh? Nikajua tu kwa watu asthmaticNkionaga bado napigaga prednisone mimi![]()
Abee
Haipo indicated ni kufosi ila kama una mafua yanapotea fasta kiasiZinasaidia pia eeh? Nikajua tu kwa watu asthmatic
Hivi wenzangu mnazinyooshaga kawaida au? Nikiwaza hayo marinda...
Ooh sawaHaipo indicated ni kufosi ila kama una mafua yanapotea fasta kiasi