Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipe kwanza picha .

Nikutoe Out??
Naiba wapi hela sasa?
Unaomba damu kwenye maiti?

Nitakupeleka pale Tukuyu,,Kuna mishkaki ya mia mbili mbili,tunakunywa na juice embe..bia kwangu haramu.


Haya usinitoe kwenye mstari..naomba picha.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sasa unakunywa wewe au mimi? mishikaki ya 200 hio hapana, hivi we unataka picha yangu kuna usalama kweli?
 
Nipe kwanza picha .

Nikutoe Out??
Naiba wapi hela sasa?
Unaomba damu kwenye maiti?

Nitakupeleka pale Tukuyu,,Kuna mishkaki ya mia mbili mbili,tunakunywa na juice embe..bia kwangu haramu.


Haya usinitoe kwenye mstari..naomba picha.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kuna kile kisehemu ukiwa unataka tu kuingia Tokyo centre, nilikulaga vile vimishkaki, pembeni Wana pilipili na tangawizi na vitunguu swaumu; sijui kupo Bado?
 
Back
Top Bottom