Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,999
- 27,975
Kwanini mkuu?Mkuu unaumwa?
Kwanini mkuu?Mkuu unaumwa?
Usipende kuparamia na kukadiria umri wa mtu...hii ni jf unaweza kumkuta hata babako chit chat kimzahaKwanini mkuu?
Nasubir hapa, tena watu wamelala, nitaziwahi kwa uhuruuu.Kumbe huwa unazoom kama haupo, mbwa wewe.
Nimechelewa kutoka job, nimeshindwa kupitia voccha hardcopy, ila huwa sina ahadi za uongo, soon.
Unaonekana umepanick sana mkuu, kwamba cocastic awe na umri sawa na baba angu?Usipende kuparamia na kukadiria umri wa mtu...hii ni jf unaweza kumkuta hata babako chit chat kimzaha

Shougaaaa angu huna kisasi,. Yaan ungekua na kisasi JF ingezizima,.akikujibu nitag
![]()







Aaaah basi sawa nimeona, ilikuwa ni mis-quote mkuu. Mimi nilidhamiria kumquote cocastic bahati mbaya ikawa kwako. Niwie radhi kwa hilo.Unaonekana umepanick sana mkuu, kwamba cocastic awe na umri sawa na baba angu?
Hebu ngoja nicheki isije kuwa nimeku-qoute wewe badala ya huyo, kama sikuku-quote basi wewe ndo utakuwa mparamiaji.
.Unaonekana umepanick sana mkuu, kwamba cocastic awe na umri sawa na baba angu?
Hebu ngoja nicheki isije kuwa nimeku-qoute wewe badala ya huyo, kama sikuku-quote basi wewe ndo utakuwa mparamiaji.





ko ukaona na mie uniweke ktk vaga lenu? Khaaaaah, sio vizuri hivyooo.Hahahaaa... kabisa bongezi hatuna tabu kabisa yani shos!!😘😘Shougaaaa angu huna kisasi,. Yaan ungekua na kisasi JF ingezizima,.
Mabonge hamna noumaa, ila sie vimbau mbau gubu na hasita had kwa mfupa.![]()
Nimeshaona na nimemuomba radhi, makosa hutokea popote pale.

Hakuna namnako ukaona na mie uniweke ktk vaga lenu? Khaaaaah, sio vizuri hivyooo.


lol jina nimelisahau ngoja nikumbuke!!
Asante dear!
Peace.Pamoja mkuu
Umefanya vizuri make wanaume hamgmbanagi bana Glenn shangazi Strawbella ameshakuja hapaNimeshaona na nimemuomba radhi, makosa hutokea popote pale.![]()
Mnoooooooh yaan.Hahahaaa... kabisa bongezi hatuna tabu kabisa yani shos!!![]()


