Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Niko hapa nasubiria neno
Niko hapa nasubiria neno
KhaaaaaaHallelujah
Nguvu ya Heineken hiyoo...
Mimi nakupenda saaanaa, japo sijanywa hata Mirinda, naongea nikiwa na akili zangu timamu kabisaa, nakupenda!!
Hujanigunduaga, nikikukorofisha huwa nakuwa mekorofishana na mtu mimi, naunganisha huko na wewe na fulani na fulani woote navuruga halafu naanza upya!!
Kiatusketi au suruali??
Sio rahisi dadaUtakuja tu najua utakuja
Shem jamani fanya kunitumia mizawadi basinarudi John akirud kijijni kwao
Hebu hukooKhaaaaaa
Hahaha sikukatai ila hayo ya shunie jamaniShem unanikataa hahahaha
No unaijua ebu fanya kutuma basiHahaha umenifurahisha hembu weka namba hapa upate hata Heineken 5
Mwanaume unakubali kupakwa mafuta mgongoni ili iweje mkuuhadi na mwanaume mwenzie?? Dunia simama nishuke!!
Hana muamana jamaniBora umwambie ukweli kabisaa
Andaa tu vitoroli vya kubebea mizigo hapo JKNIAShem jamani fanya kunitumia mizawadi basi
Jamani jamaniWote wangu shem
Shem wangu DiasporaUSA yupo uko kwenu Ngabu
Khaaaa kwahiyo mzigua kamuacha tena
Na tuseme AmeeenNilishasema siwezi kuwaangusha kama magunia dada zangu nitawashusha taratibu ili mfike chini salama
nimekukumbuka sanaAbeeh ba mkwe
EwaaaaYes, na Kiranga.
Vidoti hapo kwa tisheti au umezoom wapi wewe? Isije kuwa umezoom kwenye kiba![]()





Mpo wengi shemJamani jamani