Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Siku hizi nimeanza kupata tena uvivu wa kuselfika. Afu si juzi tu na jana nimeselfika kidogo?HS
Solufeekaa bhas
Siku hizi nimeanza kupata tena uvivu wa kuselfika. Afu si juzi tu na jana nimeselfika kidogo?HS
Solufeekaa bhas
OhooHuyu anahitaji maombi ya deliverance[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SijakuonaSiku hizi nimeanza kupata tena uvivu wa kuselfika. Afu si juzi tu na jana nimeselfika kidogo?
KwemaSophy27
Umemusika
Kwema?
Mwana family Huyu tumzoee tu hivohivo ndio alivo sasa tunampeleka wapi🤔🤔🤣🤣!!Si ndiyo kawaida yake kujitoa ufahamu?
Jinga weeeeOhoo
Mimi tena
Ngoja kwanza HS
Eti nasikia(ga) ni mchongo
Ile kujigalagaza na nini ili sadaka ziwe pomoni
Nipe hiyo kazi nikuigizie utafurahi[emoji1787][emoji2089]
Hatuna pa kumpeleka kwa kweliMwana family Huyu tumzoee tu hivohivo ndio alivo sasa tunampeleka wapi[emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787]!!
[emoji1787][emoji1787]Jinga weeee
Wewe ukiombewa lazima mapepo yako yafongoke
Yatakutana na kiboko yake, yatatoka yenyewe[emoji1787][emoji1787]
Ni magumu
Halafu makorofi
Hakuna namna Ni kumfongoa taratibu tuHatuna pa kumpeleka kwa kweli
Wengi ilitupita.Kwema
Mbna nimeselfika mida hii tu
Kama ni weweYatakutana na kiboko yake, yatatoka yenyewe
hahahahahaha
Kaendelee kumwagilia moyoKama ni wewe
Yanaweza kutoka
Na yasirudi tena[emoji1787]
Tokaaaaa
Nasema foongoooka
Acheleeeeeaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ukuje haraka mnoo.Asante my dear nitakutafuta unifundishe mapoz [emoji2]