Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Siku hizi nimeanza kupata tena uvivu wa kuselfika. Afu si juzi tu na jana nimeselfika kidogo?HS
Solufeekaa bhas
Siku hizi nimeanza kupata tena uvivu wa kuselfika. Afu si juzi tu na jana nimeselfika kidogo?HS
Solufeekaa bhas
OhooHuyu anahitaji maombi ya deliverance![]()


SijakuonaSiku hizi nimeanza kupata tena uvivu wa kuselfika. Afu si juzi tu na jana nimeselfika kidogo?
KwemaSophy27
Umemusika
Kwema?
Mwana family Huyu tumzoee tu hivohivo ndio alivo sasa tunampeleka wapi🤔🤔🤣🤣!!Si ndiyo kawaida yake kujitoa ufahamu?
Jinga weeeeOhoo
Mimi tena
Ngoja kwanza HS
Eti nasikia(ga) ni mchongo
Ile kujigalagaza na nini ili sadaka ziwe pomoni
Nipe hiyo kazi nikuigizie utafurahi![]()
Hatuna pa kumpeleka kwa kweliMwana family Huyu tumzoee tu hivohivo ndio alivo sasa tunampeleka wapi!!
Jinga weeee
Wewe ukiombewa lazima mapepo yako yafongoke


Yatakutana na kiboko yake, yatatoka yenyewe
Ni magumu
Halafu makorofi






Hakuna namna Ni kumfongoa taratibu tuHatuna pa kumpeleka kwa kweli
Wengi ilitupita.Kwema
Mbna nimeselfika mida hii tu

Kama ni weweYatakutana na kiboko yake, yatatoka yenyewe

hahahahahaha
Kaendelee kumwagilia moyoKama ni wewe
Yanaweza kutoka
Na yasirudi tena
Tokaaaaa
Nasema foongoooka
Acheleeeeeaaaa
Asante my dear nitakutafuta unifundishe mapoz![]()





tena ukuje haraka mnoo.