Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie napenda kusoma, ipo kwenye damu. Mwaka huu narudi kusoma, MIT sijawai papenda kama Standord. nilikuwa nafanya tu professional course ila sasa hivi nataka kufanya Msc..Uhandisi ni kama nimeupotezea kwakweli.. nilisoma Me Eng, nikaja badae nikaja Fanya Bsc IT, na ndio nina focus nayo zaidi na nili base sana na issue za Penetration testing pamoja na Forensic .. hata MSc nataka nifanye pure computer secuty ila nipo certified kama pro nataka tu ni add vyeti
Nshomile ni nshomile tu unaambiwa. Huko ulikokimbilia ndiko kwenye pesa sasa kwa sababu ndiko dunia inakoelekea. Hata kwa ujuzi ulionao sasa hivi ukifika hapa na kujipiga msasa kidogo haki ya nani makampuni watakugombania na pay ni kuanzia $150K+/year plus performance bonuses.

Stanford wanakula sahani moja tu na hao big boys wengine sema tu kila chuo kinajipambanua zaidi kwa program moja au mbili mashuhuri.

Stanford ndo kimetuletea akina Sergey Brin (?) waanzilishi wa Google...
 
Mie napenda kusoma, ipo kwenye damu. Mwaka huu narudi kusoma, MIT sijawai papenda kama Standord. nilikuwa nafanya tu professional course ila sasa hivi nataka kufanya Msc..Uhandisi ni kama nimeupotezea kwakweli.. nilisoma Me Eng, nikaja badae nikaja Fanya Bsc IT, na ndio nina focus nayo zaidi na nili base sana na issue za Penetration testing pamoja na Forensic .. hata MSc nataka nifanye pure computer secuty ila nipo certified kama pro nataka tu ni add vyeti
Ewaaa, no wonder ni jirani yangu😂😂
 
15 ° c - njombe
IMG_20220613_162804_570.jpg
 
Nshomile ni nshomile tu unaambiwa. Huko ulikokimbilia ndiko kwenye pesa sasa kwa sababu ndiko dunia inakoelekea. Hata kwa ujuzi ulionao sasa hivi ukifika hapa na kujipiga msasa kidogo haki ya nani makampuni watakugombania na pay ni kuanzia $150K+/year plus performance bonuses.

Stanford wanakula sahani moja tu na hao big boys wengine sema tu kila chuo kinajipambanua zaidi kwa program moja mashuhuri.

Stanford ndo kimetuletea akina Sergey Brin (?) waanzilishi wa Google...
🙏🙏🙏 Nashukuru Mungu nilipata mwanga, nikaona nijikite huko.
 
Back
Top Bottom