Selfika na JF: Snap it. Show it

Kahawa na naniliu

Yenye lips tamu

Yenye kiuno nyigu

Yenye guu la bia

Yenye naniliu na naniliu

Zilizo naniliu

Baridi lote linakata
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi. Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.
 
Hayo yote

Bwana Yesu alipita nayo

Angalia uzao unavyokuwa mkubwa maeneo ya baridi

Kulinganisha na ukanda wa joto
 
Nakuja nkweelaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…