Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ndo ukweli huo
Wengine wanatoaga vituko siku ya kwanza
Ukifanya tena zitakuwa nzuri zaidi




Sikuivisha sana viazi kama ulivyosema.
Ila unga sasa,,umenipiga chenga.
Kesho nitajaribu tena.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
