myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,061
Jirani hujambo .nakuja
Jirani hujambo .nakuja
Junia na Baba yake mwaka huu wasipoota vitambi basi wana lao jambo.Eeh mama mapishi
Oooh vizuri umeweza
TobaaaaShikamoo Heels
Mimi kuvaa inchi 5 sirudii nimewaachia slay queens![]()













pole mrembo,una mguu mzuri km ww mwenyeweShikamoo Heels
Mimi kuvaa inchi 5 sirudii nimewaachia slay queens![]()
Ah hongera umejitahidiTinsley nilizingatia ushauri wako wa kuviringa vizuri.
Ila nahisi nimekosea kwenye ngano..ilikuwa siyo nyepesi Sana.
Niliweka na binzari Kwa mbaali kuongeza utamu.View attachment 2258543View attachment 2258545
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tobaaaa
Pole nkamu
Mungu akuponye.
HS mwenzio akinyolewa,zako tia maji.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app



sirudiii kiranga kiliniisha
pole mrembo,una mguu mzuri km ww mwenyewe


Nanasi labambwa baharini ndani likiwa na picha ya mwanaume na mwanamkehahahahahahahaAsante sn Mkuu
acha basi![]()
Next time nitalegeza ngano.Ah hongera umejitahidi
Wengine huwa vinavurugika kabisa
Ngano ilitakiwa isiwe nzito sana wala nyepesi
Next time zitatoka vyema zaidi
AiseeNanasi labambwa baharini ndani likiwa na picha ya mwanaume na mwanamke
Aliyeliona lilikuwa linasukumwa na maji kuja ufukweni likiwa limefungwafungwa na kamba na walipolifungua wakakuta ndani zipo picha za mwanaume na mwanamke ambao hawajaweza kufahamika mara mojaView attachment 2258565

Jirani yangu wa nguvuu Heaven Sent.. leo ibadani viunga vya dodoma hapa sijakuonaView attachment 2258447






Viatu virefu changamoto sana.Nkamu nimekoma mimisirudiii kiranga kiliniisha
HS mzoefu![]()
