Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Viatu virefu changamoto sana.
Mimi huwa siwi huru..Najivalia zangu vifupi, nakuwa huru.


......
Nkamu ,nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipokushukuru...maendeleo ya zoezi letu la socks ni mazuri..japo kuna wiki natega sana.View attachment 2258586View attachment 2258587

Mimi huwa navivaa sana ila inch 5 yenye kisigino chembamba sijawahi vaa.

safi sana Nkamuu endelea matokeo yatakua bomba zaidi
 
Dadaake kama unaamini Mungu yupo basi tambua na uchawi upo na unafanya kazi na kuwaumiza wengi
Dah!
Watu wanaupiga mwingi
Picha kwenye nanasi?!!
Aisee,nyie !!tusali sana...wenzetu upande wa pili Kwa shetani wapo siriazi sana.

Ila wakristo tunleta mzaha,kusali kiuvivu....wakati shetani yeye yupo siriazi.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom