Shangazi Shangazi nakusubiri mahala 😄😄😄Mjombaaaaaaaa
Looking sharp
Hadi nimeandika kiinglishi![]()
Marahabaaaaaa mjeda!!Wazima humu,nawasalimu
hahahahahahahaMarahabaaaaaa mjeda!!
Viatu virefu changamoto sana.
Mimi huwa siwi huru..Najivalia zangu vifupi, nakuwa huru.
......
Nkamu ,nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipokushukuru...maendeleo ya zoezi letu la socks ni mazuri..japo kuna wiki natega sana.View attachment 2258586View attachment 2258587
..za kuvukia barabaraAkili zake......
Pole aisee...
Ulikanyaga vibaya ukateguka ankle ama nini?
Hebu guu hilo la bia na lipone haraka!![]()

Nifundishe bhanaJinga sana Wige.
Ukaona na wewe uvae kisigino chembambaMimi huwa navivaa sana ila inch 5 yenye kisigino chembamba sijawahi vaa.
safi sana Nkamuu endelea matokeo yatakua bomba zaidi





Dah!Dadaake kama unaamini Mungu yupo basi tambua na uchawi upo na unafanya kazi na kuwaumiza wengi









Karibu faraghani.Nifundishe bhana
Mwee Nkamu..Asante Sn Mkuu.
Niliteleza kwenye ngazi nikabiringika mpaka chini
Shukrani nishaanza pona now

Hayo ya kuiwazia vibaya nyumba ya Mungu.Mawazo gani
Hayo machafu![]()
Anha okay
Unanitia moyoAnha okay
For starters umefanya vyema

Ndo ukweli huo