Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,564
We haya mambo utayaweza ya sanadakalaweNdiomana
Mie zangu naomba nitumiwe pm _King washayeyuka nazo zotee!!
Kam mie tu hata siwezi
Kwakweli nifuatwe inbox hapa hapana😁
We haya mambo utayaweza ya sanadakalaweNdiomana
Mie zangu naomba nitumiwe pm _King washayeyuka nazo zotee!!
Usishindane na watu wa rohoni 😂😂😂😂
Ahsante sana nkamu
Na ww umeona wanafanana basi huyu Alayna anansumbua mimi spidernyoka jaman kila nikimuona cuzo wangu Strawbella namkumbuka Alayna



imagine 4 zotee kha!We haya mambo utayaweza ya sanadakalawe
Kam mie tu hata siwezi
Kwakweli nifuatwe inbox hapa hapana😁
unasema? Ila km uko nae niambie,tusigongane pm .nataka jimbo hiloMtoto kaishakuelewa malizia maana kaisha nipiga cha mbavub😬😬
Yaani🙌🙌🙌😬Yanii
imagine 4 zotee kha!
Mjep nifanyie kule jmn hapa sipaweziUna ile speed ya mwanga nkamu
😂😂😂aah nimechekaMkuu mie na wewe tena, siwezi ingilia mawimbi yako. Mie nipo na Nuzulati
😂😂😂🏃unasema? Ila km uko nae niambie,tusigongane pm .nataka jimbo hilo
Mie kugombania siweziii speed sinaaaa mwenzenu !!Hahahahaha zimwagwe hapahapa bana, kugombania rahaaa
Mimi haunielew kabisa dah


Hahahahaha sasa si nimefanya kazi ya kuwahi jamani; wacha nivimbie jasho langu.Uko vzr
Mi siwezi jmn
Hahaaaa
Ndo uniunge bundle manaake naona unavimbaaa tu😁
Mama pasta sio bure lazima atakua alipita JKT huyu haiwezekani!!🤣🤣🤣Mjep nifanyie kule jmn hapa sipawezi
Hiyo speed ya mama pastor siiwezi
Sawa sijabisha wizooo😂Hahahahaha sasa si nimefanya kazi ya kuwahi jamani; wacha nivimbie jasho langu.
Hata ufalme wa Mungu, unatekwa na wenye nguvu. Ngoja nikufanyie impartation ya super speed😂😂Mie kugombania siweziii speed sinaaaa mwenzenu !!
Mwenxangu na Jana alipata ujue sio but huyu😬😬😬Mama pasta sio bure lazima atakua alipita JKT huyu haiwezekani!!🤣🤣🤣
😂😂😂naogopakusema hadharani,watoto watasikia
Hahaha nikiwa primary mwalimu wangu wa tuition wa Hesabu alinikomaza sana. (Mungu ampe pumziko la amani). Siku ya test alikuwa anakuja na stopwatch; anasoma swali ndani ya dk 1 uwe umelimaliza then anasoma swali la 2. So pepa ya maswali 30/50 unaisolve ndani ya dk 30/50 respectively. Alinifanya niipende Hesabu hadi kesho na ikija kwenye kuandika; nina speed yangu amazingMama pasta sio bure lazima atakua alipita JKT huyu haiwezekani!!🤣🤣🤣