Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mama pasta sio bure lazima atakua alipita JKT huyu haiwezekani!!🤣🤣🤣
Hahaha nikiwa primary mwalimu wangu wa tuition wa Hesabu alinikomaza sana. (Mungu ampe pumziko la amani). Siku ya test alikuwa anakuja na stopwatch; anasoma swali ndani ya dk 1 uwe umelimaliza then anasoma swali la 2. So pepa ya maswali 30/50 unaisolve ndani ya dk 30/50 respectively. Alinifanya niipende Hesabu hadi kesho na ikija kwenye kuandika; nina speed yangu amazing
 
Back
Top Bottom