Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
Nimefurah kukuona madam tulikumiss kweliNipo mrembo wetu selfika tumajukumu kidogo!! Naomba siri ya urembo mdogo wangu sio kwa uzuri huo!!!
😀😀 hapo kwenye siri nitakutafuta tuongee
Nimefurah kukuona madam tulikumiss kweliNipo mrembo wetu selfika tumajukumu kidogo!! Naomba siri ya urembo mdogo wangu sio kwa uzuri huo!!!
Na ww umeona wanafanana basi huyu Alayna anansumbua mimi spidernyoka jaman kila nikimuona cuzo wangu Strawbella namkumbuka Alayna
Yaani inanipa shida hii hata kutag mpk nizoeehahHHaaa!! nahisi nitapumua kidogo!Watu wamsahau Mahondaw totally!
Kama I’d hii itakupa amani ni jambo jema kipenzihahHHaaa!! nahisi nitapumua kidogo!Watu wamsahau Mahondaw totally!
Nishapoa mkuu!!Hongera sana kwa majukumu mkuu.
Pole kwa changamoto.
Asante WiFi anguu wa jf💕Umependeza 😍
Abadani….Ongeza kula tahadhari..😂
Asante dearpendeza sana mamy !Pinky pinky imekutoaaa!![]()
Shukrani sana mama mchungaji naona tu niendelee na hii Antonnia taratibu mtaizoea!Hello bosiledi, glad to hear from you.
Ni Jana tu tulikuwa tunadiscuss; yaani sasa hivi kama huna mpango wa kubadili ID yako permanently, usibadili tu. Unaweza ukasema ngoja nibadili kwa mwezi huu, then next month ntairudia ID yangu; ukirudi unakuta imeshanyakuliwa. Nimesoma hapo kwamba mahondaw new kabadili tena; kama unaihitaji ID yako ya zamani, irudie mapema then tulia nayo, au kama utastick tu na Antonnia; well and good.
Otherwise pole na hongera kwa majukumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante best anguMapigo yako nayakubali sana
Umependezajeee mrembo!! Halafu unajua mapozi!! I like that
🔥Toto la R- Chuga, toto lenye rangi ya chocolate umetisha sana mamaaa, leo mmejua kunikosha![]()
Binti haibaa!! Jumaa kareem!
Spider wewe 😀Na ww umeona wanafanana basi huyu Alayna anansumbua mimi spidernyoka jaman kila nikimuona cuzo wangu Strawbella namkumbuka Alayna
AsanteUmependezajeee mrembo!! Halafu unajua mapozi!! I like that
Sahivi kuna kakitambi flani hivi, ka kufungia belt..mwisho jana kuna shost amenikumbusha 😂😂Ah body nzuri![]()
Ah wewe ni photogenic kweliAsante
Hahaaaa mapozi ss![]()
Awoteeeee 🤭😃😃Binti Abby....
mashalaah,pisi kali,mungu fundi
Sahivi kuna kakitambi flani hivi, ka kufungia belt..mwisho jana kuna shost amenikumbusha![]()
Nimeacha kula chips ila ngoma haiondoki