Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie husahau tu ile story ntajaribu kuandika badae badae.

Pm mambo mengi rafiki mitongozo ipo lkn wengine wana chuki zao tu
Ahadi ni deni, nitakukubusha kila siku.

Mimi najua mwanamke kutongozwa ni kawaida, tena ikipita wiki bila kutongozwa eti mnajisikia vibaya. Fungueni pm mtongozwe jamani..😅
 
Mwanaume mzubavu hafai kabisa na mkorofi sana nae ni balaa inabidi awe kati
Wanaume muione hii !👆👆
Kuna Wengine wachangamfu kweli wanavituko yani ukiwa nae ni unaongeza tu siku za kuishi kwa kucheka na kufurahi
Unakuta mwingne sirizzzzzzzz khaa😣😣 !hadi anaogopesha!
 
Ahadi ni deni, nitakukubusha kila siku.

Mimi najua mwanamke kutongozwa ni kawaida, tena ikipita wiki bila kutongozwa eti mnajisikia vibaya. Fungueni pm mtongozwe jamani..
Usiwaze nitatimiza ahadi yangu.

Kutongozwa ni kawaida ila sasa mitongozo iwe kwa kiasi ikizidi inakera.
 
Wanaume muione hii !
Kuna Wengine wanachamfu kweli wanavuruko yani ukiwa nae ni unaongeza tu siku za kuishi kwa kucheka na kufurahi
Unakuta mwingne sirizzzzzzzz khaa !hadi anaogopesha!
Mwanaume yule ambae ukizingua nae anakuzingua kweli ila asiwe na mkono wa kupiga. Mwanaume ambae hata ukikaa nae unajihisi kabisa upo mahala salama, napenda. Sasa unakaa na mtu kazubaa huyo mimi simtaki.
 
Back
Top Bottom