Mimi nimewahi kumuignore mtu maana alikuwa anacomment pumba.
Ila mtu akiniuzi sim ignore nitakula naye sahani moja.
Wengine wanahamia pm kunitukana, nakula nao sahani moja hadi wenyewe inabidi wani ignore maana hata mwezi ukipita nikikumbuka tu nalianzisha upya hata kama walishaacha. Yaani nikiboeka tu naendelea pale pale tulipo ishia.
Mimi nimewahi kumuignore mtu maana alikuwa anacomment pumba.
Ila mtu akiniuzi sim ignore nitakula naye sahani moja.
Wengine wanahamia pm kunitukana, nakula nao sahani moja hadi wenyewe inabidi wani ignore maana hata mwezi ukipita nikikumbuka tu nalianzisha upya hata kama walishaacha. Yaani nikiboeka tu naendelea pale pale tulipo ishia.
Kuna ulazima wa ku ignore mimi na Jeuri yangu naweza mpotezea mtu kuanzia pm mpaka jukwaani sifungi pm na sms zake sijibu.kuna mmoja aliniuliza mbona umefunga pm yako nilimpa jibu naziona sms zako ila sioni ulazima wa kuzijibu mpaka leo hakuwahi tena kunitafuta.
Unakuta mmezinguana kwenye uzi, mods wakaanza kufuta comments maana yake hapo mkiendelea mnapigwa ban. Au wakati mwingine uzi unafungwa kabisa au unafutwa.
Sasa yeye anaona hajakupa makavu yake vizuri anakuja pM kuendeleza. Yaani ni raha sana
Mimi nimewahi kumuignore mtu maana alikuwa anacomment pumba.
Ila mtu akiniuzi sim ignore nitakula naye sahani moja.
Wengine wanahamia pm kunitukana, nakula nao sahani moja hadi wenyewe inabidi wani ignore maana hata mwezi ukipita nikikumbuka tu nalianzisha upya hata kama walishaacha. Yaani nikiboeka tu naendelea pale pale tulipo ishia.
Kuna ulazima wa ku ignore mimi na Jeuri yangu naweza mpotezea mtu kuanzia pm mpaka jukwaani sifungi pm na sms zake sijibu.kuna mmoja aliniuliza mbona umefunga pm yako nilimpa jibu naziona sms zako ila sioni ulazima wa kuzijibu mpaka leo hakuwahi tena kunitafuta.
Unakuta mmezinguana kwenye uzi, mods wakaanza kufuta comments maana yake hapo mkiendelea mnapigwa ban. Au wakati mwingine uzi unafungwa kabisa au unafutwa.
Sasa yeye anaona hajakupa makavu yake vizuri anakuja pM kuendeleza. Yaani ni raha sana