Poker una umri gani?😆😆😆
Kwa maisha halisi huwa sikurupuki.
Lakin
Lakini yakinifika ukimbie upesi.
Hili ni dogo sana mkuu.
Nikitokwa povu nitakuwa mshamba sana sana.
Na isitoshe jamaa sio kawaida yake ku react kivile.
Ila nae Mtumishi wa Mungu alikuwa mjinga mjinga, kaonywa mala nyingi akae mbali na mwanaume.. basi sikuo la kufa halisikii dawa kwa asilimia kubwa angekuwa hai kama angesikia mashauri ya wenye hekima