Selfika na JF: Snap it. Show it

We umekubalije kudhalilishwa kabisa tena mbele ya mrembo mwenye shape lake! [emoji1787][emoji1787] Usikubali mkuu lipiza aisee [emoji23] amekuaibisha kwa kweli na vile huna baya na mtu [emoji20]
Wee msomali ntakurudisha kwenu Mogandishu huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huku kwetu amani inatawala, ivi una kibali cha kuishi hapa nchini??
 
Umelitafuta mwenyewe kaa kwa kutulia.
Kichaka kikiwaka moto niite😆
🤣🤣🤣🤣🤣 🤣🤣🤣🤣🤣!!!! Una mwili wa kupigana lakini mkuu!! Ni tutapewa zauso kuanzia mababu wa mabibi zetu hadi vilembwe na vitukuu vyetu!!😉
 
Ila mkuu una roho ya kipekee sana sio mwepesi wa hasira ila cku nyingine kwa maoni yangu Usikubali kabisa mkuu!
Poker una umri gani?😆😆😆
Kwa maisha halisi huwa sikurupuki.
Lakin
Lakini yakinifika ukimbie upesi.
Hili ni dogo sana mkuu.
Nikitokwa povu nitakuwa mshamba sana sana.
Na isitoshe jamaa sio kawaida yake ku react kivile.
 
Sijaona sijaona shos na kagoma kuirudia kabisa doh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]!!
Ktk half cast wote wa kiume walio onesha picha zao humu ndan yeye ndo kauaa, sio yule wa Iran wala yule wa Kiarabu, huyu wa Mogandishu kauaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boss hebu nifanyie mpango, unataka nife njaa, mbna chawa wenzangu wanafaidi mapesa mie nakwama wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anza kazi pasi...sioni kipepeo cha kunipepea😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…