Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We nawe. Hata sijui umetokea wapi. U mgeni katika uzi huu?

Punguza kujipendekeza na kutaja taja watu hovyo. Wewe kama unatongoza jitose ukatongoze tu lakini hakuna ulazima wa kutaja taja wanaume wenzio humu. Wanaume hatuko hivyo. Kha!
Pole na samahani mkuu.
Sikujua kama hii itakuudhi.
Kuhusu utani mimi na wewe sio mara ya kwanza..tangu tukiwa uzi wa likes.

Mimi sitakulaumu siku huwa hazifanani huenda haikuwa siku njema kwako.

Nikujuavyo siku zote u mtu poa na muungwana.
Iwapo kwa namna yoyote imeonyesha nimekudhalilisha..narudia kukuomba radhi na amani itawala.

Sisi ni watu wa kupita na siku zote tuko hapa kwa ajili ya kufurahi kwani siku za mwanadamu ni chache ..ndio masna hapa kufurahi na si vinginevyo.

Pole ndugu.
Na uniwie radhi
Shimba Ya Buyenze
 
Pole na samahani mkuu.
Sikujua kama hii itakuudhi.
Kuhusu utani mimi na wewe sio mara ya kwanza..tangu tukiwa uzi wa likes.

Mimi sitakulaumu siku huwa hazifanani huenda haikuwa siku njema kwako.

Nikujuavyo siku zote u mtu poa na muungwana.
Iwapo kwa namna yoyote imeonyesha nimekudhalilisha..narudia kukuomba radhi na amani itawala.

Sisi ni watu wa kupita na siku zote tuko hapa kwa ajili ya kufurahi kwani siku za mwanadamu ni chache ..ndio masna hapa kufurahi na si vinginevyo.

Pole ndugu.
Na uniwie radhi
Shimba Ya Buyenze
Poker naona umefurahi na
mahondaw 😅
 
Mbona ni kawaida mnazipiga kiume ..mnajifuta na maisha yanasonga mbele😂😂

Au ulitaka na mimi nitoe povu? 😂😂
We umekubalije kudhalilishwa kabisa tena mbele ya mrembo mwenye shape lake! 🤣🤣 Usikubali mkuu lipiza aisee 😂 amekuaibisha kwa kweli na vile huna baya na mtu 😞
 
Back
Top Bottom