Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Ndo yenyewe 🌽 😁😁😁Ndio haya mahindi ya jana
Yamepoa yamekuwa matamu!🤓
Ndo yenyewe 🌽 😁😁😁Ndio haya mahindi ya jana
Sa nifanyeje na gari sina jamani....?U
Umepiga leggings safi kabisa....aise unapenda bajaj...ngoja niuze tvs yangu ninunue bajaji niwe dereva wako
Ndiyo uwe unaibuka frequently sasa🤣🤣🤣Haha,
Shukrani zangu za dhati nazituma kwa kibagia changu Depal popote alipo,
Ujumbe: tukumbukane kwenye masuala muhimu kama haya'..!!
thank you C'ssy, it's my lucky day real..!🥰🥰
Ndyooo mwayaa.Mrembo kapiga leggings hatari...umeona upaja huo
Mwanamke mrembo kma wewe unajiendeshaje bwana...wee unatakiwa unatulia tuli huko nyuma unapiga picha zako na ku ipload hapa selfikaSa nifanyeje na gari sina jamani....?
Btw, sio kwamba mimi ndio ninunue ka bajaj kangu ili nijiendeshe mwenyewe?? 🤔🤔
Haha,Ndiyo uwe unaibuka frequently sasa🤣🤣🤣
Nitaanza kuwa nakutag… niambie tu unapenda kuwaona kina nani wakitupia, ili siku wakitupia chap nakuita 😇Haha,
Shukrani zangu za dhati nazituma kwa kibagia changu Depal popote alipo,
Ujumbe: tukumbukane kwenye masuala muhimu kama haya'..!!
thank you C'ssy, it's my lucky day real..!🥰🥰







Niko India… sasa sishangai kabisa mie kuwa juisi ya pilipili 😅😅😅Nachoshukuru nimekuwa ya embe, siyo juice ya pilipili kama wewe..!
Uje ijumaa kula biriani ya kuku.!
Kiazi mbatata wewe..!!
Haha,Nitaanza kuwa nakutag… niambie tu unapenda kuwaona kina nani wakitupia, ili siku wakitupia chap nakuita 😇
Usinikumbushe,Niko India… sasa sishangai kabisa mie kuwa juisi ya pilipili 😅😅😅
Ngoja nitafute hela.. au patakuwa na free biriani kwa sisi staff?
🤣🤣🤣🤣 Nisije nikakosa sababu ya kutotupia sio??😁😁Mwanamke mrembo kma wewe unajiendeshaje bwana...wee unatakiwa unatulia tuli huko nyuma unapiga picha zako na ku ipload hapa selfika
😂😂😂😂😂😂😂😂 sasa kujitesa vipi!? Si ungeachana nayo tu hata kama ni tamuUsinikumbushe,
Kipindi nipo chuo kuna rafiki yangu alikuwa anatengeneza pilipili moja nzuri kweli nilikuwa naitumia hata nikiwa nanywa chai na maandazi asubuhi.!!
Bhaaana bhaaana..! yaliyokuwa yananikuta 'ofisi kuu', nilikuwa nalia machozi huko ndani, kitu kinawasha mpaka basii, najiapiza siigusi tena, wooii nikirudi duniani nasahau naila tena like nobody's business..!!
Alafu wewe dogo nitakupiga...............
Unaujua utamu-kuwasha lakini mdogo wangu.??😂😂😂😂😂😂😂😂 sasa kujitesa vipi!? Si ungeachana nayo tu hata kama ni tamu
Wapi EPL na UEFA 😂😂😂😂😂😂😂Alafu wewe dogo nitakupiga...............
Liver ni club bora duniani msimu huu hilo halina ubishi
Nataka kuupiga hapa na kiepeUnaujua utamu-kuwasha lakini mdogo wangu.??
AmekimbiaSaint Anne njoo huku dada, nlikuambia city tumetolewa nyie hamtoboi, ulinipopoa sana,
Afadhar mwenzako nimechukua EPL, wee Carabao na FA,View attachment 2243298
