Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Sana mjomba ila akiimba nyimbo nzima peke yake itakuboa mpe chorus sasa hatarii
Sikiliza i need a bi**h kaimba lil kim


Nyimbo zake lazima kuna lugha nzito..


Mambo mengine hata sijui huwa wanafikiria nini. Zamani ulikuwa unaweza kukwoti hata watu 100. Leo hii hata watu wawili huwezi. Notifications zinafika baada ya masaa 7...na maongezi ya PM sasa mweh! Yaani vurugu tupu. Hivi ni vitu vidogo tu lakini sijui kwa nini huwa havishughulikiwi.Labda mwaka huu watafanyia kazi
Imekuwa tunaimba yaleyale tu..mfano hili la pm nishamwambia Melo kitambo.
Ngoja nirudi kwanza town nikakuchukulie vitu fulani hivi, afu ndiyo nikuje sasaJiranii mama pastaaa uniundie nyama vile nipendavyo basi Heaven Sent 😁😁😁View attachment 2240491
Malizia sentensi shangazi.Vibaya mno hadi nina ...... kama yake
Enzi za ujana mbaya sana![]()
😅😅😅😅Vibaya mno hadi nina ...... kama yake
Enzi za ujana mbaya sana![]()
Ila Uyole kuzuri jamani. Hebu ona kulivyo dah! Byurifooo!Ngoja nirudi kwanza town nikakuchukulie vitu fulani hivi, afu ndiyo nikuje sasa
Kuna sehemu hadi anakamata hisia zoote yaani 😁😁Ngoja na mimi niuplay
itakuwa ndio mambo yake aliyokuwa anapendaaa 😅😅🔥Sana mjomba ila akiimba nyimbo nzima peke yake itakuboa mpe chorus sasa hatarii
Sikiliza i need a bi**h kaimba lil kim
Nyimbo zake lazima kuna lugha nzito..





Ila Uyole kuzuri jamani. Hebu ona kulivyo dah! Byurifooo!
Hili la Pm lilikuwa linanikera zaidi.Mambo mengine hata sijui huwa wanafikiria nini. Zamani ulikuwa unaweza kukwoti hata watu 100. Leo hii hata watu wawili huwezi. Notifications zinafika baada ya masaa 7...na maongezi ya PM sasa mweh! Yaani vurugu tupu. Hivi ni vitu vidogo tu lakini sijui kwa nini huwa havishughulikiwi.
Naona umepapiga pichaaa 😅😅😅Ngoja nirudi kwanza town nikakuchukulie vitu fulani hivi, afu ndiyo nikuje sasa
Nimeshazoom, ila ya friji ndio ipo namba moja asee![]()
Nani kapost miguu yangu?🤣🤣🤣
Uje ule na maparachichi sasa
Eeeeeh dk 10 tu nisharudiNaona umepapiga pichaaa 😅😅😅
Malizia sentensi shangazi.
Una nini kama yake?
Nimedadisika ....



Ah itakuwa ndo ulivyoNaogopa sana kupokea simu.
Ukinipigia sipokei..nakutumia text.
mtoto tunalifanyia kazi tulia basi 😅🥸🥸Hili la Pm lilikuwa linanikera zaidi.
Massesage yanabebana hovyo hadi unakosa hamu ya kuendelea kuandika.
Hii shida ya kugoma kuquote comments nyingi imenifanya hadi niache kujibu baadhi ya comments..maana watu kibao wamenipa pole.
Badala ikubali niquote wote kwa comment moja tu..eti hadi nianze kujibu mojamoja kitu kile kile!
Mi notifications ilikuwa inakuja ya juzi..sasa hivi inakuja ya masaa 7 na 14 yaliyopita.
Yaani akina Maxence Melo wanajua kutunyanyasa na hii App🤣
kifo chake kiliniuma dahKabisaa![]()