Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Og ni og Tu mrembo..ya uturuki yanakuwa tepetepe km bigjii iliyoexpire
Uturuki Kama kariakoo Sasa hivi..wasipate msongo wajipange waende
Og ni og Tu mrembo..ya uturuki yanakuwa tepetepe km bigjii iliyoexpire
Uturuki Kama kariakoo Sasa hivi..wasipate msongo wajipange waende
Hahah unipitie na mm Mama Junia huenda nikavaa kashela this yearMimi wikiendi hii naenda kuchukua samare zake



Sema kina kirefu kinabidi kipate mtambo mrefu wa kuzamia, kama kamtambo kafupi lazima uone kina kirefu mtihani wakatu huko down ndio dhahabu zimejaaa 😅😅😅Hahahaaaa.... Nasubiria hapa somo kutoka kwa baba pastaa!!! Virefu houuuyyyyyyyeeeeeaaahhhhhhhhhh!!!🤭
Nimejibu swali la Kwanza,la pili ajibu Depal
Samahani Kwa mwandiko wa kidaktari..mwandiko mbayaaView attachment 2240505View attachment 2240506





Tena hata sijaandaa marking guide sasa

!!

Safari ipo, mapenzi ni Biology + Saikolojia ya akili tuacha tumwage darasa

tunasubiriHahahaaaa....!!!!!Magimbi plus Yai..leo ushinde peke yako kuepusha aibu ndogondogo maana utakuwa inatoa ushuzi unaonuka muda wote![]()





Huyo wa zambarau anaonekana ana kina balaa angalia kutoka kiunoni hadi kwenye Mbunye!!






Yule ukienda kwake,ukirudi tu tunakula ubwabwaHahah unipitie na mm Mama Junia huenda nikavaa kashela this year![]()
Dahhhh!! Bios Utakua ulifaulu sana wewe!! Yani mulemuleeeeee!!!
Sasa hawa watoto wa mama Samia kwenye mtihani waambie wachore sikio la Human being hata kuangalia sikio la mwenzie kwa pembeni anashindwa yani!!








Ukijua una practise kwani sasa 🥸🥸tunasubiri
Kabisa ubwabwa unaliwa kabisa tuende akatuchangamshe kidogo

Kabisa ubwabwa unaliwa kabisa tuende akatuchangamshe kidogo![]()

Kaa hapo hapo nipite naked kabisa mie 😜😳!!Mchat na picha jomoneee wadau lol
HahahUkijua una practise kwani sasa 🥸🥸

Tuone rudia ile writing skills Junia aoneUnanisema mm Mama Junia ninaandika zaidi ya hati zaidi ya Saba![]()
Ngoja nichukue samare hapaMwandiko wa mkono Una hisia..mtu akikutamkia anakupenda Kwa kutype Kwa mkono ktk karatasi ina maana kubwa kuliko anayetuma meseji WhatsApp
😅😅😅 unataka kujua ili iweje shangaziii wakati kamanda hayupoooHahahaaaa.... Nasubiria hapa somo kutoka kwa baba pastaa!!! Virefu houuuyyyyyyyeeeeeaaahhhhhhhhhh!!!🤭
Kula chapati wewe koo lipoeUna makusudi
Ndio nini sasa![]()