Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tupate mapumziko ndugu wazungumzaji
 

Attachments

  • 20220527_104738.jpg
    20220527_104738.jpg
    599.7 KB · Views: 11
Nimekumbuka mbali sn enzi za shule naitwa mbele na mwalimu kwenda kuchora,Hadi nikawa mchoraji wa darasa,kumbe kipaji hakizeeki..bado najitahidi

Mobile maksi hii madam mahondaw na madam sophy27 View attachment 2240510
Dahhhh!! Bios Utakua ulifaulu sana wewe!! Yani mulemuleeeeee!!!
Sasa hawa watoto wa mama Samia kwenye mtihani waambie wachore sikio la Human being hata kuangalia sikio la mwenzie kwa pembeni anashindwa yani!!
 
Dahhhh!! Bios Utakua ulifaulu sana wewe!! Yani mulemuleeeeee!!!
Sasa hawa watoto wa mama Samia kwenye mtihani waambie wachore sikio la Human being hata kuangalia sikio la mwenzie kwa pembeni anashindwa yani!!
Ahahah..kumbuka kuchora ni kipaji,Mimi nilikuwa macho tangu primary

Yes,nilikuwa mkali wa bios, chemistry na physics
 
Mm mbona naandika Sana hahha nikiwa deep tu naandika kamassage kwa karatasi au bado Nina kautoto
Mwandiko wa mkono Una hisia..mtu akikutamkia anakupenda Kwa kutype Kwa mkono ktk karatasi ina maana kubwa kuliko anayetuma meseji WhatsApp
 
Back
Top Bottom