Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Nimejibu swali la Kwanza,la pili ajibu DepalNaaamView attachment 2240371Madogo wanatafutana hapa!!
Samahani Kwa mwandiko wa kidaktari..mwandiko mbayaa
Nimejibu swali la Kwanza,la pili ajibu DepalNaaamView attachment 2240371Madogo wanatafutana hapa!!
Uyu wa zambarau mnofu mweeee
Nilijua tuJunia anaomba kusoma ulichoandika


Huyo wa zambarau anaonekana ana kina balaa angalia kutoka kiunoni hadi kwenye Mbunye 🤣🤣🤣🤣!!
Kuna demu mkali kishenzi katoka hapo morena kavaa pink flani kama cream umemuona mrefu ana shape mweupe flani hivi ?alikuwa reception 😅😅😅Kumbe upo in the area....nipo hapa morena mzeya kabla sijaelekea zangu dom
Mimi tena naanzaje kukosa??Nilijua tu
Lazima uwepo jukwaani
Hujambo chuchunge![]()
mamaa huyoo .. yai hilo 😋😋😋 na magimbiiNasinzia tu hapa!!
View attachment 2240494
Hio mixa yake sasa🤣🤣🤣🤣🤣!!!mamaa huyoo .. yai hilo 😋😋😋 na magimbii
Nitakupigia wasapMimi tena naanzaje kukosa??
Marahaba chuchunge.
Ulipewa assignment yangu na mahondaw.
Una mwandiko mzuriNimekumbuka mbali sn enzi za shule naitwa mbele na mwalimu kwenda kuchora,Hadi nikawa mchoraji wa darasa,kumbe kipaji hakizeeki..bado najitahidi
Mobile maksi hii madam mahondaw na madam sophy27View attachment 2240510
Huwa sipokeiNitakupigia wasap
Nimempa nimempa kwa kumkumbisha tena!Mimi tena naanzaje kukosa??
Marahaba chuchunge.
Ulipewa assignment yangu na mahondaw.
Hahah!!Watu na fani zao
😁😁😁😁 acha kabisaaaHio mixa yake sasa🤣🤣🤣🤣🤣!!!
Dah..
)Kweli eeh..asante snUna mwandiko mzuri
,ngoja aje Fulani lazima aniponde