Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Wanaume tumeumbwa (Mustafa Nanga) mateso, mateso
Kuangaika
Mwanamume unapopatwa na matatizo, macho hua mekundu
Kwa hasira, lakini katukatu usikate tamaa
Wanaume tumeumbwa (tumeubwa) mateso, mateso
Kuangaika
Ukipatwa na jambo usiende kwa waganga
Kwanza omba Mungu, akusaidie
Wanaume tumeumbwa (Nasibu) mateso, mateso
Kuangaika
Ukipatwa na jambo usiende kwa waganga
Kwanza omba Mungu, akusaidie
Wanaume tumeumbwa (Mwanagu, eeh) mateso, mateso
Kuangaika
RThcsBE.png

20211030_224359-jpg.1992617
Teacher
 
Fanya mazoezi basi kunywa maji mengi usipake mavitu mengi usoni punguza kula katapera

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Tangu nitoke Mbeya parachichi nakula kwa tochi.
Natumia tu kwenye juice.

Mazoezi purukushani za hapa na pale ni mazoezi tosha.

Unadhani hata napaka mavitu usoni basi??
Hata mafuta huwa sipaki.
 
Tangu nitoke Mbeya parachichi nakula kwa tochi.
Natumia tu kwenye juice.

Mazoezi purukushani za hapa na pale ni mazoezi tosha.

Unadhani hata napaka mavitu usoni basi??
Hata mafuta huwa sipaki.
Hii kauli ya maisha yangu tayari mazoea tosha ndo inayofanya watu wazima wapate sana TIA na stroke saiv

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom