Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sema Tusisahau neno : 😅😅

Mithali 30: 18 -19

18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu.

19 Mwendo wa tai katika hewa; Na mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu pamoja na msichana.
Mkuu ahsante sana 🙏 ubarikiwe.
 
#CentralPark
20220525_135537.jpg
 
Ila Sulemani bwana...Shujaa wa mabaharia alikuwa huyu mwamba

Hivi ndiye aliandika pia Wimbo Ulio Bora au huyo ni baharia mwingine?
Ndio huyo huyo bwana selemani , Wimbo ulio bora, mithali pamoja na muhubiri

Selemani mwenyewe huyu kasema mie nipinge nini 😅😅😅

Muhubiri 4 : 11

11 Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?

Post M-alone
 
😅😅😅 Huwezi ku fail mzabzab akishindwa mtihani wa kukupatia passport ndani ya masaa matatu hajakizi vigezo bado tena tunataka ile ya diplomat
🤣🤣🤣🤣Kama hana pport tutaenda zenji hapo tokatulie hotel verde na mrembo ..ebu vuta picha huyu Lizzy na kabody hako kapiga bathing suit....sii unaweza jipiga bao mwenyewe🤣🤣🤣🤣
 
Post M-alone na hizi ndio mitahali za Selemani 😅😅😅

29 Kuna watatu wenye mwendo wa kupendeza, Naam, wanne walio na mwendo mzuri.

30 Simba aliye hodari kupita wanyama wote; Wala hajiepushi na aliye yote;

31 Jimbi aendaye tambo; na beberu; Na mfalme ambaye haasiki.

32 Ikiwa umefanya kipumbavu kwa kujikuza; Au ikiwa umewaza mabaya; Basi weka mkono wako juu ya kinywa chako.

33 Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika
ahsante sana mkuu
 
😅😄😄 Bila kusahahu msisitizo

2 Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?

3 Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.
Nashukuru sana mkuu🙏🙏

Mie character yangu naonekana napenda totoz, kitu ambacho ki uhalisia sipo hivyo.🙂.
 
Nashukuru sana mkuu🙏🙏

Mie character yangu naonekana napenda totoz, kitu ambacho ki uhalisia sipo hivyo.🙂.
😅😅😅😅 Kuna kupenda, Kuna kutamani, kuna kufurahia. Na sio lazima ukipenda kitu hadi ukifanye , ni sawa na wengine hapa tunapenda one day tununue Gulfstream hata ya mchongo ila naishia kuipenda tuu
 
Back
Top Bottom