Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwaka 2010, mama yangu mkubwa aliugua sana, alikuwa anaumwa ugonjwa wa ini tokana na kuwa alcoholic, kabla hajafariki aliugua coma, na hali haikuwa vizuri hata kidogo.
Huyo mama yangu amenisomesha, amenipa mwanga wa mambo mengi sana, maisha yake ya usichana ameishi ughaibuni, nikiwa mshamba kabisa nakwenda kumuona, nashangaa kila kitu, yeye alinipenda sana, na mie nilimpenda sana.

Nimekutana na marafiki wengi kwa sababu yake, na mambo mengine yote ni sababu yake.

Baada ya kuugua sana, watu walikata tamaa akiwemo baba yangu mkubwa ambae ni mmewe, kwa kweli nilimuomba sana Mungu ampe nafuu japo nipate kumuaga mama yangu kipenzi, hata nimwambie tu ahsante mama, anione mwanae anitambue roho yangu ifurahi.

Siku mbili baadae napata taarifa mama amepata nafuu yaani ametoka kwenye coma lakini ana wiki mbili ama mwezi kabla ini lake halija shutdown kabisa.

Namshukuru mungu nilimuona kwa mara ya mwisho , nilimshukuru kwa mema aliyonitendea, nilitoka hapo nalia, sikuamini kama kweli nimemuona akaniona mama yangu kipenzi, nilikua nae karibu sana kabla hajaanza ku hit bottles hard,namshukuru mungu alinipa wasaa kumuona mama yangu mara ya mwisho na kumwambia kwa heri.

Hakika mkuu naweza sema Mungu alisikia maombi yangu

Mungu hajibu kwa kile unachotaka bali unachohitaji.

1 Petro 3:12 NEN​

Kwa maana macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza maombi yao. Bali uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu.

_King
Hizi moments bana; uzisikie tu kwa wenzio. Lakini naamini pia kupata nafasi ya kuongea na mtu kwa mara ya mwisho ni neema sana aisee au hata kupata nafasi ya kumuaga tu kwa mara ya mwisho. Pole sana Captain; it is well.....
 
Ndio huyo huyo bwana selemani , Wimbo ulio bora, mithali pamoja na muhubiri

Selemani mwenyewe huyu kasema mie nipinge nini

Muhubiri 4 : 11

11 Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?

Post M-alone
Kwa kweli hakuna cha kupinga Baba Mchungaji

Sema tu kwenye Mhubiri naona alikuwa kazeeka sasa keshaponda raha za kila aina ndo akaamua kushusha mikwara ya kufa mtu....eti ...Yote ni Ubatili. Selemani bana
 
Mungu hata siku moja hana mpango wa kutuuzunisha wala kufanya nafai zetu zizimie. Hufanya jambo kwa utukufu wake..

Yesu Kristo, kipindi ana teswa hadi kufa kwake wapo waliopatwa na uzuni, ila kumbe ndio ulikuwa ukombozi wa dunia.

Kuna nyakati tunahisi tumeumizwa au kuuzunishwa ila kuna kuu zaidi ambalo Mungu anataka kuruhusu kutokea kwa ajiri ya utukufu na kwa watu wengi.

16 “For God so [greatly] loved and dearly prized the world, that He [even] gave His [One and] [a]only begotten Son, so that whoever believes and trusts in Him [as Savior] shall not perish, but have eternal life.
Ni kweli mkuu, sie wanadamu tumepewa freewill, hata walio waovu wamepewa freewill, kwa hio Mungu ametuacha hivyo tuwe na freewill, hakuna tena freewill au maana ya freewill kama ataingilia kila maamuzi ya mtu.

NI vile utatumia freewill mwenyewe either towards the good way and be righteous or unrighteous way.

Watu wanauliza kwa nini flani ateseke kama Mungu yupo? nasema ni freewill, hata muovu amepewa freewill, akija kukufanyia uovu ana freewill, lakini Mungu ni mwenye haki, na yeyote kwa mabaya yake atalipwa.

Warumi 6:23
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti,
 
Ni kweli mkuu, sie wanadamu tumepewa freewill, hata walio waovu wamepewa freewill, kwa hio Mungu ametuacha hivyo tuwe na freewill, hakuna tena freewill au maana ya freewill kama ataingilia kila maamuzi ya mtu.

NI vile utatumia freewill mwenyewe either towards the good way and be righteous or unrighteous way.

Watu wanauliza kwa nini flani ateseke kama Mungu yupo? nasema ni freewill, hata muovu amepewa freewill, akija kukufanyia uovu ana freewill, lakini Mungu ni mwenye haki, na yeyote kwa mabaya yake atalipwa.

Warumi 6:23
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti,
Upo sawa kama Brother Post M-alone

Ndio Maana anaitwa MIMI NIKO AMBAYE NIKO

Maisha yetu dunia ni kwa ajiri ya utukufu wa Mungu , kuwepo kwetu duniani Mungu ana makusudi yake. Tuilekeze mioyo yetu kwake Mungu, ili hata katika nyakati ambazo zimetuzidi upeo , basi yeye atutie nguvu
 
Mwaka 2010, mama yangu mkubwa aliugua sana, alikuwa anaumwa ugonjwa wa ini tokana na kuwa alcoholic, kabla hajafariki aliugua coma, na hali haikuwa vizuri hata kidogo.
Huyo mama yangu amenisomesha, amenipa mwanga wa mambo mengi sana, maisha yake ya usichana ameishi ughaibuni, nikiwa mshamba kabisa nakwenda kumuona, nashangaa kila kitu, yeye alinipenda sana, na mie nilimpenda sana.

Nimekutana na marafiki wengi kwa sababu yake, na mambo mengine yote ni sababu yake.

Baada ya kuugua sana, watu walikata tamaa akiwemo baba yangu mkubwa ambae ni mmewe, kwa kweli nilimuomba sana Mungu ampe nafuu japo nipate kumuaga mama yangu kipenzi, hata nimwambie tu ahsante mama, anione mwanae anitambue roho yangu ifurahi.

Siku mbili baadae napata taarifa mama amepata nafuu yaani ametoka kwenye coma lakini ana wiki mbili ama mwezi kabla ini lake halija shutdown kabisa.

Namshukuru mungu nilimuona kwa mara ya mwisho , nilimshukuru kwa mema aliyonitendea, nilitoka hapo nalia, sikuamini kama kweli nimemuona akaniona mama yangu kipenzi, nilikua nae karibu sana kabla hajaanza ku hit bottles hard,namshukuru mungu alinipa wasaa kumuona mama yangu mara ya mwisho na kumwambia kwa heri.

Hakika mkuu naweza sema Mungu alisikia maombi yangu

Mungu hajibu kwa kile unachotaka bali unachohitaji.

1 Petro 3:12 NEN​

Kwa maana macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza maombi yao. Bali uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu.

_King
This is very deep Captain.

Mama aendelee kupumzika salama huko aliko. Na anaendelea kuishi kupitia kwako. Na wewe pass it forward...ili chain ya wema wake na legacy yake aliyoianzisha kwako iendelee. Maisha
 
Back
Top Bottom