Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Mkuu uliisikia wapi? 🤔acha kabisaaa unapigwa na shoti kabisaa 😀😀
Mkuu uliisikia wapi? 🤔acha kabisaaa unapigwa na shoti kabisaa 😀😀
☺☺☺☺☺Damnnnn....sasa hizi ndio type zangu😍😍😍😍 aise u r beautiful na hivyo vidole vya mguu if they are anything to go by...ur must be very very sweet....upo wapi mrembo mida ya lunch hii bwana
😅😅😅 mkuu acha tu, kuna siku nilienda kula chakula ( Food 🍱 ) cha mdomoni na kutafunwa na meno ndio nikawa naisikia akiongea tukiongeaMkuu uliisikia wapi? 🤔
🤣🤣🤣🤣🤣Bank statement mzee ina maji ya uzima au maji ya kunywaa 🌚🌚
😭😭😭😭😭Umepitwaaa, nishatupia kitambo mie
📌🤸♂️🤸♂️Hamna kujichosha na sio shida zako mbona😎
😂😂😂 hatariiii shoo
😅😅😅 kuhusu auditor KPGM wanahusikaa ili kusiwe na longo longo🤣🤣🤣🤣🤣
Apite kwa auditor kabisa...sindio??😁😁
Ohhh, sawa, sasa ulishindwaje kuongea ya moyoni mkuu?😅😅😅 mkuu acha tu, kuna siku nilienda kula chakula ( Food 🍱 ) cha mdomoni na kutafunwa na meno ndio nikawa naisikia akiongea tukiongea


😊😊😊😊😄😄 mie nisiongee neno nitaamsha hisia tu alafu ndio ivyo ngazi za kupanda ghorofani hazipo.. vidole vya miguuni pete hatari, shape hatari, mtoto hana makuu roho ya nyeupe haina giza hata kiduchu, mtoto sauti yake kama malaika wa sifa midomo hiii acha tuu yale menoo ooops ( am gona die - in harmonize voice )
Na wwe amka saa 9 utume.Kuna mtu anatumaga picha saa nane usiku humu yote kheri tu lkn![]()
Vigezo na masharti mkuu, mtihani 😄😄 kuna wengine hata wakiwa madada flesh kishingo upande.. ananukia huyo ile natural yenyewe bila malashi kama sijui nini huchoki kukaa karibu eeeh🚶♂️🚶♂️🚶♂️Ohhh, sawa, sasa ulishindwaje kuongea ya moyoni mkuu?
Na wwe amka saa 9 utume.

Wewe tena una mbingu zako mwenyewe na mabawa yako ni special 😍😍😊😊😊😊
Karoho kakawe kazuri kama unavyokanenea Inshallah!!! ☺☺☺
Au kwa uhakika zaidi tu-double na Ernst & Young....???😅😅😅 kuhusu auditor KPGM wanahusikaa ili kusiwe na longo longo
🤔 🤔 🤔, Mkuu mbona unazidi kunipa maswali?Vigezo na masharti mkuu, mtihani 😄😄 kuna wengine hata wakiwa madada flesh kishingo upande.. ananukia huyo ile natural yenyewe bila malashi kama sijui nini huchoki kukaa mbalii eeeh🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Yote kwa siku hiyo hiyo????🙄🙄Ohhh, sawa, sasa ulishindwaje kuongea ya moyoni mkuu?