Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,210
- 183,059
Usingizi mwema baba pasta!
🔥🔥🔥 nimeshtuka mule mule, sasa acha nirudii kulala mazima 😍😄
🔥🔥🔥 nimeshtuka mule mule, sasa acha nirudii kulala mazima 😍😄
Bank statement mzee ina maji ya uzima au maji ya kunywaa 🌚🌚Damnnnn....sasa hizi ndio type zangu😍😍😍😍 aise u r beautiful na hivyo vidole vya mguu if they are anything to go by...ur must be very very sweet....upo wapi mrembo mida ya lunch hii bwana
eehMchana mwema!
View attachment 2238081
😘😘😘😘😘😜😜😜😉😉Shouga ake nan huyuuuuu?
Naulizaaaaaaaa?? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nina zari, usingizi part 2 siuwekei notification 😅😅Usingizi msema baba pasta!
Huyu mrembo ni wakuwowa mzeya yaani hizi ndio shape nazotaka mie alafu mwanamke avae skkrt ndio ananichanganya kabisa.....umeona hivyo vidole vya mguuni kaka😍😍😍😍Bank statement mzee ina maji ya uzima au maji ya kunywaa 🌚🌚
😂😂😂 where? Which sorting? Emu kwendraaaaaOoooooh. Nimeshasort lakini ,🤣🤣🤣
Nina zari, usingizi part 2 siuwekei notification 😅😅
Ukidundwa sikutetei 😂😂😂😂😂😂 where? Which sorting? Emu kwendraaaaa
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji12][emoji12][emoji12][emoji6][emoji6]
😄😄 mie nisiongee neno nitaamsha hisia tu alafu ndio ivyo ngazi za kupanda ghorofani hazipo.. vidole vya miguuni pete hatari, shape hatari, mtoto hana makuu roho ya nyeupe haina giza hata kiduchu, mtoto sauti yake kama malaika wa sifa midomo hiii acha tuu yale menoo ooops ( am gona die - in harmonize voice )Huyu mrembo ni wakuwowa mzeya yaani hizi ndio shape nazotaka mie alafu mwanamke avae skkrt ndio ananichanganya kabisa.....umeona hivyo vidole vya mguuni kaka😍😍😍😍
Hapa kalisema hakajawai kwenda akemi...nitampeleka mrembo just appreciation of her beauty😄😄 mie nisiongee neno nitaamsha hisia tu alafu ndio ivyo ngazi za kupanda ghorofani hazipo.. vidole vya miguuni pete hatari, shape hatari, mtoto hana makuu roho ya nyeupe haina giza hata kiduchu, mtoto sauti yake kama malaika wa sifa midomo hiii acha tuu yale menoo ooops ( am gona die - in harmonize voice )
🤔 🤔Sauti?😄😄 mie nisiongee neno nitaamsha hisia tu alafu ndio ivyo ngazi za kupanda ghorofani hazipo.. vidole vya miguuni pete hatari, shape hatari, mtoto hana makuu roho ya nyeupe haina giza hata kiduchu, mtoto sauti yake kama malaika wa sifa midomo hiii acha tuu yale menoo ooops ( am gona die - in harmonize voice )
Hata ukiwa na 💸 💵 nyingi 😏😄😄😄 bwanaaa weeeee ukianza kuzeeka usiku usingizi unapotea..
Me nadundika sasa? Unanidakia wapi? 😂😂😂 si nakuacha hapo uwanja wa vita me napepeiyaaa na speed 240!Ukidundwa sikutetei 😂😂😂
😂😂😂Me nadundika sasa? Unanidakia wapi? 😂😂😂 si nakuacha hapo uwanja wa vita me napepeiyaaa na speed 240!
Haya mzeee nakutamania , akemi ndio nini hiyo 🫣🫣Hapa kalisema hakajawai kwenda akemi...nitampeleka mrembo just appreciation of her beauty
acha kabisaaa unapigwa na shoti kabisaa 😀😀🤔 🤔Sauti?
😄😄😄😄 hizi nikipata nitakupa uwe unanishikia unipangie matumizi eehHata ukiwa na 💸 💵 nyingi 😏