Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahhha ulijibwa vipi eti
Hutuangushi jirani
Mambo za zawadi sasa ninavyopenda
Ebu nikumbushe basi kumdanganya nini eti
Kukwambiaje tena jamani
Khaaaaaa huyu ndio mangi amjuae ndugu yangu Sakayo


Sisi ni nani tubishe mangi kuwa shemeji yetu na alivyo muhandsome cc Mzigua90
Hivi uliitikiwa dada
Hapo sasa shem ndio unanivuruga mambo ya comment no ngapi tena we panda tu juu uko shem wangu utakutana nayo
Siku nyingi sijakusikia mambo za dompo
Kwahiyo kama umelikuta jf ndio ukazie
Hahahaha, uko vzr ,naona una peruzi na kudadisi tu muda huu safi sana
 
Back
Top Bottom