Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Hahahhha ulijibwa vipi etiHivi dada, hiyo hainaga wivu eti?!
Hahahhha ulijibwa vipi etiHivi dada, hiyo hainaga wivu eti?!
Sanaaaa nakazia apaHahahaha
Mangi mtu poa sana.
WoyooooooooNaanzaje kuwatenganisha Nyinyi na mimi ni kitu kimoja kabisa
Kaká ebu changamka bwanaBado Dada si unajua ndugu yako ni mzito mie
Mambo ya makopa tu

Hahahhha ulijibwa vipi eti
Hutuangushi jirani![]()
Mambo za zawadi sasa ninavyopenda![]()
Ebu nikumbushe basi kumdanganya nini eti
Wachaaah
Kukwambiaje tena jamani![]()
Khaaaaaa huyu ndio mangi amjuae ndugu yangu Sakayo
Hivi uliitikiwa dada
Hapo sasa shem ndio unanivuruga mambo ya comment no ngapi tena we panda tu juu uko shem wangu utakutana nayo
Siku nyingi sijakusikia mambo za dompo
Hahahaha, uko vzr ,naona una peruzi na kudadisi tu muda huu safi sanaKwahiyo kama umelikuta jf ndio ukazie
Ongea vizuri na mimi kaka ufunguliwe pm uko nakuonea huruma unavyopata shidakwako kutoka kwangu
hujanifungia
Jamani jamani nani anatesekaaaa
WoyoooooMimi na Sakayo.....
Mungu pekee ataweza tutenganishaa!!![]()
Aimenn
Naomba tuu usijenibadilikia akii, nitaambia nini watu mimi Mangi!





Niko apa mama
Mh atapata shida kaka wa watuMpe hongera bby wangu. Mwambie nimemkubalia ombi lake. Ila asiniogope![]()
HahahahahaAnko,
Nilikupa mtu pale!!
Mchizi nae yuko njemaa
Ulizingua sana anko
Hivi nilikuwa sieleweki jamani au jamani nilikwambia nimeingia lindo leo nipo free na keshoJana nilikuwa niko hot, wifi yako kanibania papuchi...
Nimefukua makaburi yote chali, mwishoe namcheki Shunie angalau anisindikizie siku nae haeleweki....
Basi nikamaliza mwenyewe club legend![]()
Yaani we mzee baba unaibukaga kwenye picha tuWatu wanafaidi
Kheeee mkuu hebu angalia tena vizuri aiseeMimi ni kibonge mbona au angalia kwenye picha nyingine hizi hapaView attachment 1252268View attachment 1252269






Ujue napita huku kutafuta selfie yako

Ndio mda nimepata nafasi nipo lindo mieHahahaha, uko vzr ,naona una peruzi na kudadisi tu muda huu safi sana
Zipo uko juu pandapanda utaziona za kumwagaUjue napita huku kutafuta selfie yako![]()