Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Mmh MobutuSize ya mikono,miguu,mgongo
So ni rahisi kukujua
Siku nikiiona na face,hata nikitangulia mbele za haki nitaenda kwa amani



Mmh MobutuSize ya mikono,miguu,mgongo
So ni rahisi kukujua
Siku nikiiona na face,hata nikitangulia mbele za haki nitaenda kwa amani



Hahaha ndioMmh Mobutu![]()
Hahaha ndio maanahuwa nabadilika kulingana na mazingira na matukio.. Kwa mfano kama nikiweka ya sasa hivi muda huu.... Warembo wote humu hawatajibu hata PM zangu

Redstone Kuna supu kumbe,ni ya kongoro auNiko nakula supu hapa Redstone..
Napita hapo chap
Usiweke,shunie wangu asijekushindwa kulala,maana mshana hukosi li hirizi kubwa kiunoniSio nzuli niko sina nguo
![]()

Mkuu mtu chake. Yeye ameweka moja kapaukaaaa miguu sijui anafanya kazi mashineni,ila yupo na mtoto mzurihazifanani kabisa
Nina hasira kwakweli mtu akinikorofishaHahaha ndio
Mpaka tabia,nimegundua una hasira sna
Eeeenh huna nguo tena usiweke nitaotaSio nzuli niko sina nguo
![]()
Hahhaha sawa bwanaHata mimi pia![]()
Hahhahah kwani ile picha ni yeye kweli
ni mwenyewe kabisaa, ule mguu wa kikongo kabisaHahahaNina hasira kwakweli mtu akinikorofisha
,Mtu anaekuudhi wewe atakua ana frasturesheni
Hahahha itakuwa sio yeye bwanani mwenyewe kabisaa, ule mguu wa kikongo kabisa
Hahhaha Mobutu bwanaHahaha,Mtu anaekuudhi wewe atakua ana frasturesheni
Kama kawaida umeficha virungu vya ngoma 😍😍😍Kheeee mkuu hebu angalia tena vizuri aiseeMimi ni kibonge mbona au angalia kwenye picha nyingine hizi hapaView attachment 1252268View attachment 1252269
Mbona kama kanandy.