Sawa[emoji23]Zipo uko juu pandapanda utaziona za kumwaga
Niko poa mimi wewe jeSawa[emoji23]
Ngoja nizisake,sababu ni zako
Vipi lakini uko poa ?
Mimi salama tuNiko poa mimi wewe je
Nisiskie Tena unajiita muhenga
Hao wadogo zangu bwanaNisiskie Tena unajiita muhenga
Huwa nazimaliza mobutuMimi salama tu
Hivi huwa unazimaliza kusoma zile novels zako zote ?
Weeh kaka hulaliiiiDah.... [emoji91][emoji98][emoji298][emoji108][emoji144][emoji144][emoji40][emoji40][emoji40][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha[emoji1787] shunie nimekukalili kichiziHao wadogo zangu bwana
Duh,unaonekana ulikua kipanga enzi zako shuleni[emoji23]Huwa nazimaliza mobutu
Mkuu mlozi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]
EeenhHahaha[emoji1787] shunie nimekukalili kichizi
Size ya mikono,miguu,mgongoEeenh
Umenikalili vipi jamani mobutu
Mkuu mlozi
Wewe huwa sielewi nikuweke kundi gani[emoji23], zipo pic zako unaonekana una miaka 50's na zipo late 30's
Hahahah ebu weka kaka nione jamani mimi mdogo wako sina madhara kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa nabadilika kulingana na mazingira na matukio.. Kwa mfano kama nikiweka ya sasa hivi muda huu.... Warembo wote humu hawatajibu hata PM zangu
Nimeingia nimekuonaDada umejuajee