General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Natamani ningekuwa huo wino jamaniiii
Hahahaha
Baby, ukitaka sema nikutumie kama zote

Natamani ningekuwa huo wino jamaniiii

Ndo shida ya kununua mashati ukute lugha yenyewe mtu haijui
Maaangiiii, huyu Mungu azidi kukuweka tuu

Hongera sana my dearKapatikana kidume kama chako
Hahahaha
Baby, ukitaka sema nikutumie kama zote![]()






Hongera sana my dear
Mitori wapi sasa
AimennMimi na Sakayo.....
Mungu pekee ataweza tutenganishaa!!![]()
Hahahaah
Sio wangu.....
Mzigua anajua zaidi...
Naomba tuzae wetu basi mama?




Usijali mpenzi....Aimenn
Naomba tuu usijenibadilikia akii, nitaambia nini watu mimi Mangi!
Nishushie savanna 3
Mungu ni mwema sana jamaniUsijali mpenzi....
Mangi ni wako daima![]()





🙏😍Mungu ni mwema sana jamani![]()
We utakuwa una kitambi sio bure