Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
neno mama mchungaji
neno mama mchungaji
Wachaakama Alicia keys![]()
Usinibanie tafadhali.Umeanza zako, hapo unataka tu nipunguze emoji, haya napunguza.
Mwambie asitufanyie hivi jaman
walikoosalama Saint Anne, you remind me Saint Anne wine
unaipenda sana?Jitahidi uwe swiz beatzWachaa
HahahMie mwenyewe mbna ushangingi nauweza, alidhan atawin. Mpira unabadilika dkk 0.


Pombe yangu ilewalikoosalama Saint Anne, you remind me Saint Anne wine
unaipenda sana?
Alafu sasa mimi ndio mkubwa kwake yani ishukuriwe camera hapo imesaidia kuficha uzee 😀awwwewwwww kwanza ume mzidi we bado kabichi bichi yule mzee tayari
🫡🫡🫡🫡🫡 Hatari sana mremboo shukuru kuwa mzuri na mrembo sio unaanza kujidai kibibi ... shukuru ambacho Mungu kakupaAlafu sasa mimi ndio mkubwa kwake yani ishukuriwe camera hapo imesaidia kuficha uzee 😀
Umefuraaahi😃
Hilo fuvu liko wapi antiNikapumzishe fuvu langu wapendwa Kesho nayo ni siku!!

Tubadilishane bas kipenziii. Mie nataka nyama nyama hizo.Hivi kuna mtu anatamani kuwa mnene kweliView attachment 2235879





ahsante sana kwa kutambua hilo 🤣Usinibanie tafadhali.
Nyie wazungu wa roho mjue...hadi kutukana jamaa anatukana Kwa kizungu tu yaani🤗
Nasubiri sasahivi😉
Nishazoea kuambulia manyoa.Mwambie asitufanyie hivi jaman