Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Wa mchongo😆😆😆hahahaha.namsoma mama mchungaji wa selfika
Wa mchongo😆😆😆hahahaha.namsoma mama mchungaji wa selfika
Lust of eyes ( upendo umekaa machoni ) . Kikipita kitrakoo kinacheza cheza tayari kaelewaaa 😅😅😅i.e. Erotic/sexual/passionate Love
Nasikiliza ratiba; next month uuuuuuhBadae wizo
Acha nimsikilize baba ss kuna matangazo
Duh huyo mzee wa trakoooo
Trakoo linakuwa tuuu ukila zenye virutubisho linakuwa tu plus kuzaa kitu kileee 😅😅😅Duh huyo mzee wa trakoooo
Sina trakooo
Nipoooo mkuuTina mic u
Umejaaliwa usafiri dyadya😂
Aaaah! Unaenda zoezini 🌚🌚Pangeni mstari nikugawieniView attachment 2234496
mzabzab njoo honeerr maajabu ya kazi za Mungu... Wonder without Numbers 😅😅Chat na pichaView attachment 2234497
Naelekea hapa,nasubiri jua lipoeAaaah! Unaenda zoezini![]()
Hahahaaa eeh watatumiss sana😅😅Turudi kabisa mwakani eeeh ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤
hahahaha.si kweli uko vzr sana.huwa nakusoma kwa umakiniWa mchongo😆😆😆
Kumjua mtu kama wako simple sana.. hakuna LUST kati yenu ya aiana yoyote ni indication mpo covered na Glory ðŸ¤ðŸ¤ðŸ¤ ila kama mkijatamani kujila , hamna kitu hapo .. mnaweza msijile ila kimoyo moyo mnatamaniana hiyo nayo sio, mkikaa sehemu hali ya hewa inachange kuwa utulive na hofu ya Mungu huyo sawa, ila kama mkikaa chobingo mahesabu makali yanaanza vichwani 😅😅😅 jiongezee nazungumzia uzoefu, spiritul ambayo ni physcialWeeeee acha masihara
When it comes kwenye hilo eneo, Nishaacha watu ,sitaki utani!
Unafikiri kwann baadhi ya watumishi kitu cha Mungu kinakufa?
Adui nae yuko standaby kukuletea mtu aliyebeba kitu kitakachoua cha Mungu ndani yako!
Ndo maana kuoa/kuolewa /kuzaa watt kwa watu walio okoka ni zaidi ya vita vya tatu ya dunia!
Sbb adui anajua unazaa kitu ambacho hakijabeba mbegu yake,anajua unazaa adui yake!
😅😅😅😅 Na sie tuta wa miss one day tutawakaribisha waje kututembelea eehHahahaaa eeh watatumiss sana😅😅
unazingua ss😅😅😅😅 Tupia basi nzima nzima hadi kifuani tuu inatoshaaa uwakilishe vyema hapounazingua ss
Hii ngoma ilitakiwa iwe kwenye albam ya The Chronic
Mguu wa nani huu...yaani jf warembo wamebarikiwa miguu na vidole ila kuna mmoja naona ana msambwandaaamzabzab njoo honeerr maajabu ya kazi za Mungu... Wonder without Numbers 😅😅
mguu wa mtoto mkalii hivi ana kifua flani hivi amazing anaitwa Christine1 .. mwenye msambambwanda ni mmoja tuu wengine wana masaburi 😅😅😅😅Mguu wa nani huu...yaani jf warembo wamebarikiwa miguu na vidole ila kuna mmoja naona ana msambwandaaa