Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mzee tupeleke maombi nasikia jimbo lipo wazi bwana...aiwezekani guu zuri hivyo halipapaswi
😅😅😅 huyo mtoto wa mwakasege, alafu na sie si watoto wa Moses Kulola tena kama ulinitangulia kwa Mzee Moses Kulola .. nitakusindikiza upeleke CV kitu kikaa ndani huna wasi wasi mabahari waandamizi kula mtoto anahofu ya Mungu
 
Baba

IMG_20220522_172903_291.jpg
 
😅😅😅 huyo mtoto wa mwakasege, alafu na sie si watoto wa Moses Kulola tena kama ulinitangulia kwa Mzee Moses Kulola .. nitakusindikiza upeleke CV kitu kikaa ndani huna wasi wasi mabahari waandamizi kula mtoto anahofu ya Mungu
Ah wee hiyo kitu hainaga hofu ya mungu...mfalme daudi mwenyewe ilimshinda....so huyu ni binti mlokole
 
Back
Top Bottom