Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

"Omba mume ambaye mtatimiza kusudi la Mungu pamoja" -Mama Mwakasege.

Hatuoi/kuolewa kwa sababu ya upendo; bali kwa sababu ya kusudi la Mungu juu ya maisha yetu. Upendo unaweza ukaishia; Leo ukajaa, kesho ukapungua; lakini kusudi la Mungu aliloweka ndani yetu litabaki kuwa lilelile. Tunaunganishwa na kusudi la Mungu
 
"Omba mume ambaye mtatimiza kusudi la Mungu pamoja" -Mama Mwakasege.

Hatuoi/kuolewa kwa sababu ya upendo; bali kwa sababu ya kusudi la Mungu juu ya maisha yetu. Upendo unaweza ukaishia; Leo ukajaa, kesho ukapungua; lakini kusudi la Mungu aliloweka ndani yetu litabaki kuwa lilelile. Tunaunganishwa na kusudi la Mungu
neno
 
"Omba mume ambaye mtatimiza kusudi la Mungu pamoja" -Mama Mwakasege.

Hatuoi/kuolewa kwa sababu ya upendo; bali kwa sababu ya kusudi la Mungu juu ya maisha yetu. Upendo unaweza ukaishia; Leo ukajaa, kesho ukapungua; lakini kusudi la Mungu aliloweka ndani yetu litabaki kuwa lilelile. Tunaunganishwa na kusudi la Mungu
Ndiooo
Mume mtakaetimiza kusudi
'Nikishafika hapa ndo balaa linapoanzia
 
"Omba mume ambaye mtatimiza kusudi la Mungu pamoja" -Mama Mwakasege.

Hatuoi/kuolewa kwa sababu ya upendo; bali kwa sababu ya kusudi la Mungu juu ya maisha yetu. Upendo unaweza ukaishia; Leo ukajaa, kesho ukapungua; lakini kusudi la Mungu aliloweka ndani yetu litabaki kuwa lilelile. Tunaunganishwa na kusudi la Mungu
Love ( agape kind of love ) linabaki the same halina wave, but feeling zina badirika na wengi wanachukuana kwa feelin not love.. Pendo ( Love ) haliyumbi love is above all.. that why GOD is Love 🌚🌚🌚
 
Back
Top Bottom