Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Sasa hilo ndo huwa lenyewe maana sitegemei ๐๐Malaika mimi huyu nikupige dongo.. dongo lenyewe litagomaa ๐๐๐ kuja .. upo ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Sasa hilo ndo huwa lenyewe maana sitegemei ๐๐Malaika mimi huyu nikupige dongo.. dongo lenyewe litagomaa ๐๐๐ kuja .. upo ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Hizi ni zao wenyewe Mr Price....watakuwa wamecopy design ๐ค๐คHizo ni brand ya Kito au
Surname yake ni MtatiroYupi huyooo? Aliyeshinda n mmakonde.
Ila Angel wa Udsm nawaza ni mparee km vile.
Tobaaa







Sio ndio wapare, hawa wa M?Surname yake ni Mtatiro
Duuuuuh siku nzima lol.
hongereni kwa mlimbwende wa taifa
Tobaaa
Aiseee...hata kama ndio uwaifu matirio hii imezidi.
Hicho kitenge kilivyoshobwa
Wazambia ni habari nyingine![]()

Anauoiga mwingi.

Sio mkuria huyoSio ndio wapare, hawa wa M?
Mwali unasonga ugali wa maelfu ya watuNdio nini sasa?
Mimi nawaambia mapema tu kuwa pekeyangu siwezi hili sufuria.Wamependeza kweli. Ila sio kwa huo ugali aisee mimi ningepika mbichi na kasoro zianze kutolewa hapo hapo wifi gani hajui kupika.
Siyo kwa kwenda kutengua mkono namna hiyoNdoa tamuuu.
