Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Inasikitisha sana kwamba alikuwa anawauza dahNachat na kale katoto kamiss kangu
Namwambia mdogo wangu ungeenda ungeshinda...analalamika kuwa kuna upendeleo.
Wadau muwasaidie hawa watoto kupaza sautiView attachment 2232960
Sio haki kabisa dah
Nimemuonea huruma dah ,hakika Mungu ni mwaminifu atamfungulia njia ili aweze kufikia ndoto zake.
Hao wanapita chuoni basi mtihani , dunia haipo fair jamani


