Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,509
- 235,214
Naona labda anaanza tu mwanzoni kuashiria kwamba anajua kipika...Yani umezidi balaaa ..kuna mwiko pembeni hapo mtu amemsaidia [emoji23]
Ooh wanajua kweli kushona nguo ..
Wapo vizuri
Halafu wanapokea.
Ila kama ndio anasonga hadi mwisho wallah wazambia watakuwa wauaji[emoji3]