Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Naona labda anaanza tu mwanzoni kuashiria kwamba anajua kipika...Yani umezidi balaaa ..kuna mwiko pembeni hapo mtu amemsaidia
Ooh wanajua kweli kushona nguo ..
Wapo vizuri
Halafu wanapokea.
Ila kama ndio anasonga hadi mwisho wallah wazambia watakuwa wauaji






