Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie pia nimeambiwa nichague kigauni kizureeeeeeee cha birthday ila mi kisiwe cha kushona muda hautatosha!! sijui kiwe cha rangi gani Heaven Sent Fashionist ushauri wako pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Nimeona hapo chini umechagua lavender yes itakupendeza sana kwa rangi yako na hata pia kwa watu ambao mna Utulivu kama wewe, sio Coca🀣🀣

Changamoto kidogo nafikiri itakuwepo kwenye kupata ready made dress ya attire. Si unajua hizi rangi classic sana, haziwi nyingi unlike rangi zetu za kisukuma. Labda uanze kutafuta gauni mapema sana
 
Wamepaweka kitamaduni, simple n classic😍
Panavutia, nimependa hyo bathroom😊
Uzuri wa bathroom ( heater zao kubwa unaweza kaa nusu saa maji ya moto hayaishi na utamu mwingine kuna kioo kikubwa chini kuna bondee.. unaoga huku unapata view nzuriii unaweza kaaa huko bafuni hadi ukasahahu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ngoja niongee na boss nifanye makeke wiki hii birthday mi next week!! Enhee ya kuchanua au ya kubana?
 
sasa mie rangi gan itanifaaa? Mbna mnanichanganya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…