Umesema kweli. Kukiwa na semina ya Neno la Mungu (kujifunza tu neno la Mungu) watu hata hawaji. Tangaza sasa kuna maombi na maombezi. Au Ile tu semina; muda wa neno watu hata hawajali; ufike muda wa maombi sasa afu waambiwe Mtumishi atamuombea mtu mmoja mmoja weeeee