Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
Haya Nipe muongozoYani mimi naona browser ndio naifaidi JF vizuri
Inapatikana play store au
Haya Nipe muongozoYani mimi naona browser ndio naifaidi JF vizuri
Browser ni kama google chrome au firefox.. ukitafuta mahala pa kuonesha application itakuja google chrome fungua hiyo .. nenda kwenye address bar andika jamiiforums.com uta login then utaendele kuitumiaHaya,maelekezo tafadhali km hutojali nitumie hiyo browser sijui
Hapana mkuu, hii unaingia kwenye browser (Google chrome) moja kwa moja kwa kuandika www.jamiiforums.comHaya Nipe mupngozo
Inapatikana play store au
Yaani sio tu kuwa hao wachungaji %80 wameacha kufundisha mpendwa,bali hawaelewi kabisaaa!Amen. Ndio Mwana wa Mungu. Pale msalabani kuna mambo mengi sana ( spiritual yalitokea baada ya ile kauli ya imekwisha ) ndio maana unaona hata jua lilipatwa na giza likazima kwa masaa matatu ( masaa matatu kulikuwa na shughuli kubwa sana katika ulimwengu wa roho katika ukombozi wa mwanadamu ). Msalaba umebeba deep mysteries ambayo wachungaju wengi wameacha mafundisho yake ni wachache sana ambao unaweza kutana nao leo wakafundisha the mysterious behind the cross
Na ww selfika mkuuStory na kuselfika wadau
itakusumbuaje moderator 😎😎Poleni wapendwa nashukuru mimi jf haijawahi nisumbua
Mkuu sio kwamba mafundisho ya kweli hayapo, bali kwa sababu ya watu waliowengi kupenda miujiza ndio maana kuna baadhi ya mitume na manabii wa uongo (kama ilivyoandikwa) wanatumia huo mwanya kuvuna washirika. WatuYaani sio tu kuwa hao wachungaji %80 wameacha kufundisha mpendwa,bali hawaelewi kabisaaa!
Ndo maana makanisani watu wanaingia na kutoka km walivyo no changes,kitu ambacho sio sawa!
But tuna kazi ya kufanya. Kama wapendwa hatutorudi msalabani ni ngumu kuona 100% ya undiluted power of God .Yaani sio tu kuwa hao wachungaji %80 wameacha kufundisha mpendwa,bali hawaelewi kabisaaa!
Ndo maana makanisani watu wanaingia na kutoka km walivyo no changes,kitu ambacho sio sawa!
But Kwenye fundisho la kuzijaribu hizo roho pana moto hapo.. Kwanini Henoko ( Enoch ) hata walichomoa kuingiza nyaraka zake ? Kuna Level ya kiroho mtu akifikia ili kuitest spirit yake kuna mawili au zaidi, uwe juu yake kiroho au muwe sawa kiroho tofauti na hapo unaweza hisi anatumika na mapepo.. Kama mnatembea kwenye realms tofauti kupambanua roho ya mtu ni kazi sana, cha msingi ni kumsikiliza Roho Mtakatifu ana guide wapi.. Kuna watu wanatembea katika dimension za juu sana, unakuta hata mtembeo wake na Mungu unaweza kukuchanganya ni kama Henoko ilivyokuwa 😀😀😀.Mkuu sio kwamba mafundisho ya kweli hayapo, bali kwa sababu ya watu waliowengi kupenda miujiza ndio maana kuna baadhi ya mitume na manabii wa uongo (kama ilivyoandikwa) wanatumia huo mwanya kuvuna washirika. Watu
Wachache sana wamejaa neno ambao wana uwezo wa kuzipima roho za hao manabii wa uongo.
Mimi siwezi kuabudu sehemu ambayo haina mafundisho ya kweli.
Yani mtu na akili zako ukaanze kukanyaga chumvi?
Umesema kweli. Kukiwa na semina ya Neno la Mungu (kujifunza tu neno la Mungu) watu hata hawaji. Tangaza sasa kuna maombi na maombezi. Au Ile tu semina; muda wa neno watu hata hawajali; ufike muda wa maombi sasa afu waambiwe Mtumishi atamuombea mtu mmoja mmoja weeeeeMkuu sio kwamba mafundisho ya kweli hayapo, bali kwa sababu ya watu waliowengi kupenda miujiza ndio maana kuna baadhi ya mitume na manabii wa uongo (kama ilivyoandikwa) wanatumia huo mwanya kuvuna washirika. Watu
Wachache sana wamejaa neno ambao wana uwezo wa kuzipima roho za hao manabii wa uongo.
Mimi siwezi kuabudu sehemu ambayo haina mafundisho ya kweli.
Yani mtu na akili zako ukaanze kukanyaga chumvi?
Ni sahihi kabisa, ila hawa manabii wa kibongo yani kama uko vizuri kiroho ni rahisi sana kuzijua nia zao.But Kwenye fundisho la kuzijaribu hizo roho pana moto hapo.. Kwanini Henoko ( Enoch ) hata walichomoa kuingiza nyaraka zake ? Kuna Level ya kiroho mtu akifikia ili kuitest spirit yake kuna mawili au zaidi, uwe juu yake kiroho au muwe sawa kiroho tofauti na hapo unaweza hisi anatumika na mapepo.. Kama mnatembea kwenye realms tofauti kupambanua roho ya mtu ni kazi sana, cha msingi ni kumsikiliza Roho Mtakatifu ana guide wapi.. Kuna watu wanatembea katika dimension za juu sana, unakuta hata mtembeo wake na Mungu unaweza kukuchanganya ni mama Henoko ilivyokuwa 😀😀😀.
Ukiona nabii ana ku point kwake badala ya kuku point kwa Yesu Kristo, huyo una mpiga ban tu, simple kama hivyo 😀😀Ni sahihi kabisa, ila hawa manabii wa kibongo yani kama uko vizuri kiroho ni rahisi sana kuzijua nia zao.
Watu wanapenda sana miujiza. Ndio maana kuna wachungaji fake wanatengeneza shuhuda za uongo iki kupata attention ya washirika wao.Umesema kweli. Kukiwa na semina ya Neno la Mungu (kujifunza tu neno la Mungu) watu hata hawaji. Tangaza sasa kuna maombi na maombezi. Au Ile tu semina; muda wa neno watu hata hawajali; ufike muda wa maombi sasa afu waambiwe Mtumishi atamuombea mtu mmoja mmoja weeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
🤷🏼♀️😅😅Siamini nimepitwa na nilikua hapahapa!!🙆🙆🙆
Natamani nikujibu kitu au basi😬😬itakusumbuaje moderator 😎😎
Sanaaa tena tuna kazi kubwa!But tuna kazi ya kufanya. Kama wapendwa hatutorudi msalabani ni ngumu kuona 100% ya undiluted power of God .
Najua watakaokuelewa ni wachache sanaBut Kwenye fundisho la kuzijaribu hizo roho pana moto hapo.. Kwanini Henoko ( Enoch ) hata walichomoa kuingiza nyaraka zake ? Kuna Level ya kiroho mtu akifikia ili kuitest spirit yake kuna mawili au zaidi, uwe juu yake kiroho au muwe sawa kiroho tofauti na hapo unaweza hisi anatumika na mapepo.. Kama mnatembea kwenye realms tofauti kupambanua roho ya mtu ni kazi sana, cha msingi ni kumsikiliza Roho Mtakatifu ana guide wapi.. Kuna watu wanatembea katika dimension za juu sana, unakuta hata mtembeo wake na Mungu unaweza kukuchanganya ni kama Henoko ilivyokuwa.

nijipu uone 🤨🤨🤨Natamani nikujibu kitu au basi😬😬
Amen. Ndio Mwana wa Mungu. Pale msalabani kuna mambo mengi sana ( spiritual yalitokea baada ya ile kauli ya imekwisha ) ndio maana unaona hata jua lilipatwa na giza likazima kwa masaa matatu ( masaa matatu kulikuwa na shughuli kubwa sana katika ulimwengu wa roho katika ukombozi wa mwanadamu ). Msalaba umebeba deep mysteries ambayo wachungaju wengi wameacha mafundisho yake ni wachache sana ambao unaweza kutana nao leo wakafundisha the mysterious behind the cross


