Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

...
ila kwa ufupi kwa sasa hivi shetani hana nafasi yake kule na damu ya Yesu imevunja access ambayo alikuwa nayo kwa sasa hivi kakalia kuti kavu
Nimeelewa Baba Mchungaji. Kwamba "ushikaji" huu wa Mungu na Shetani wa kukaa na kupiga stori uliwezekana tu kabla ya dhabihu ya damu ya Yesu pale msalabani na tangu tamko la ushindi la "Imekwisha" liliporindima katika kilima cha Golgotha na mabonde yake shetani alikatiliwa mbali mazima pamoja na genge lake la vijana wa hovyo na hana access tena na mbingu.

Uko vizuri sana sema tu kichwa chako kina mambo mengi sana na wakati mwingine kinapata moto. Itabidi uanze kutulia sasa ili safari ya kurudi Ethiopia isije ikachelewa. Mungu na Akusaidie
 
Mpendwa. Picha hata sekunde mbili haijakaa. Imenigomea kwenye app huyo nakimbia kwenye browser nakuta ishafutwa. Siyo fair
Screenshot_20220520-124550.jpg
 
Back
Top Bottom