Selection second

Selection second

Sijajuwa n mchezo gani serikali inacheza mpaka sasa maana majina ya sec round ni machache sana na pia wanafunzi wengi hawajaona majina yao mwanangu analia tuu hapa vyuo vitatu na hajaona jina lake
pasi zake zinamruhusu?
 
Umepata bundle la kuingia jf ila umekosa bundle la kuingia tcu ambako maelezo yote yametolewa huko. Mwendokasi

Elimu bure, bure kabisa
 
Hivi kuna chuo chochote ambacho kimetoa majina ya waliochaguliwa awamu ya.pili?
Ukiachana na majina ya multiple selection yaliyotolewa na tcu.
 
Huu mfumo ni pasua kichwa kweli kweli mpaka sasa vyuo kama mzumbe, udom and udsm hawajatoa majibu kwa wale waliochaguliwa chuo kimoja kati ya hivyo, mwisho wa kutuma maombi awamu ya tatu ni hiyo kesho sasa huo muda unapatikanaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom