Selection second

Selection second

TCU kuna list ya waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja ila wale waliopata chuo kimoja sijaona ila vyuo husika kesho watabandika
 
Jamn vp tulioapply second round na majina hayapo kwnye majina walotoa TCU.. lkn profile zetu azijabadilika chochote?
 
Ndugu dogo alikosa mara ya kwanza akaomba mara ya pili sasa majina yametoka walochaguliwa chuo kimoja na kuambiwa third round 24_26
Sasa naulza je vyuo bado havijatoa majina au sijaona tu na kama havijatoa mtu atajuaje amechaguliwa au la
Pili mtu unatumia web gan kulogin maana dogo haelew yaan kuangalia taarifa zako(profile) ili kama katemwa aombe tena
Wamefanya hivo kwasababu kuna watu wamepewa nafasi ambao hawakuapply 1st n 2nd round kuna wengine waliomaliza system ya Cambridge
 
Me sijui mkuu ila kuna vyuo baadhi naona wamesha post ila kuna vyengine bado

Ila nakushauli tu maana 3rd wanafunga leo sasa kama unasubir udom au udsm had wapost ndo uangalie na uwez ukajua kama umepata bora uapply vyuo vingene vya private ambako amna competition kubwa sana kama hivo vya govt

Kingine ukiangalia kwenye baadhi za kozi pale udsm admission capacity yake na idadi ya single select 1st bach na watu ambao hawaja confirm unaona kabisa kuna baadhi ya koz hawatawez kuongeza
Kwahiyo ukiapply 3rd round angalia na admission capacity kwa kila koz
 
Me sijui mkuu ila kuna vyuo baadhi naona wamesha post ila kuna vyengine bado

Ila nakushauli tu maana 3rd wanafunga leo sasa kama unasubir udom au udsm had wapost ndo uangalie na uwez ukajua kama umepata bora uapply vyuo vingene vya private ambako amna competition kubwa sana kama hivo vya govt

Kingine ukiangalia kwenye baadhi za kozi pale udsm admission capacity yake na idadi ya single select 1st bach na watu ambao hawaja confirm unaona kabisa kuna baadhi ya koz hawatawez kuongeza
Kwahiyo ukiapply 3rd round angalia na admission capacity kwa kila koz

NDhan wengii humu walikuwa UDSM wameshajibiwa now wamekaa kimya na majibu yao
 
NDhan wengii humu walikuwa UDSM wameshajibiwa now wamekaa kimya na majibu yao
Mkuu mdogo wangu kachaguliwa mkwa bachelor of education in science sasa sijui kuna tofauti gani na bachelorof science with education
 
Wakuu kuna yoyote mwenye taarifa ya majina ya second selection ya chuo cha sua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom