Selection second

Selection second

Nilikuwa nataka nitoe msaada hapo ndiyo maana nikauliza ka apply chuo gani tuanze kumshauri pia.
Okey sku nyingine jtahd kuwa straight jbu kama ulivoulzwa so kuanza kuulza vingine nje ya mada by the way mm so mwanafunz kama unavodhan ila kutokana na system zilvobadilika tangiapo nasoma ndo maana nkaulza coz sko aware na hz system mpya isitoshe
 
Labda ww ndo hujielew pamoja na hyo mwenzako anayeparamia mada em kuwen na logical presentation ya vtu vyenu
Unajua nilichoongelea ? Mambo yenu mimi hayanihusu.afu usijiisi mtoto wa kiume
 
Ipo ivi TCU wanautani leo tarehe 24 wametoa taarifa kuhusu majina kutoka na majina yaliyotoka ni ya wale wa vyuo zaidi ya kimoja kwa wale ambao vyuo viwil aubzaid yapo Katika web ya TCU
Wamesema watawasilishamajina vyuo husika
Ikumbukwe ksh tare 25
Tar 26 mwish
Hapo bado mtandao haujasumbua ?
 
Rejea post yako au unatumia smu ya tecno kwamba imejituma
Kama sija ku quote basi jua sikuongea na wewe
Mkuu mimi nilikua naizungumzia hali ya JF .ningetaka kukushauri juu ya tusi uliomtolea huyo jamaa ningeku quote au ku tag ID yako
Mkuu kuwa muelewa.kwa heshima kabisa
 
Yako hayaishi Boss wangu?
Okey yaishe lakn next time kama post hujaielewa uliza kwamba hapa vp mbona kuna walojbu afu kuandika selection second is not a big deal coz inaeleweka lakn pia kwa jins nilkuwa nmejichokea nilitaka kuandika selection tu ndo nkaongezea second sidhan kama ilikuwa na ugumu kias hcho
 
Ipo ivi TCU wanautani leo tarehe 24 wametoa taarifa kuhusu majina kutoka na majina yaliyotoka ni ya wale wa vyuo zaidi ya kimoja kwa wale ambao vyuo viwil aubzaid yapo Katika web ya TCU
Wamesema watawasilishamajina vyuo husika
Ikumbukwe ksh tare 25
Tar 26 mwish
Hapo bado mtandao haujasumbua ?
Kesho na hyo jtano zinaeza kutisha maybe
 
Okey yaishe lakn next time kama post hujaielewa uliza kwamba hapa vp mbona kuna walojbu afu kuandika selection second is not a big deal coz inaeleweka lakn pia kwa jins nilkuwa nmejichokea nilitaka kuandika selection tu ndo nkaongezea second sidhan kama ilikuwa na ugumu kias hcho
Uandishi wako wala hauna shida mada ilieleweka ila wenzio sasa walivyo reply ndio maana nilishangaa matumizi ya x badala s,c badala ya ch n.k
Tuko pamoja lakini
 
Okey sku nyingine jtahd kuwa straight jbu kama ulivoulzwa so kuanza kuulza vingine nje ya mada by the way mm so mwanafunz kama unavodhan ila kutokana na system zilvobadilika tangiapo nasoma ndo maana nkaulza coz sko aware na hz system mpya isitoshe
My correction was normal I didn't know if I could stir a backlash. Mkuu samahani kama niliumiza hisia zako kwa namna yoyote na ile koment ya kukukosoa ktk title ya uzi wako nimei edit usiku mwema wote hapa.
 
hii nchi ina mambo ya ajab sana mkuu.sijajua wanampango gani na sisi hawa jamaa
 
yan wanazngua knoma mpk sass HV account empty
Kipindi chetuu mifumo hiii ya admission ilikiwa mzuri sana lakin miaka hiii haiwezekan mwanafunz anakosa chuo na sifa anazo kabisa ....
serikali inabidi iangalie kwa makin swala hili kama kungekuwa na MTU wa TCu humu ingefaaa sana pia na wwaandishi wa habari kuwasilisha haya mambo kwa jamii zetu watoto wetuu wanateseka sana hasa kama unaingia kwenye account na kukuta majibu ya ovyo ie enough capacity, enough space ..
mwanafunzi unachagua faculty tatu au NNE alafu unaambiwa zote zimejaaa kwelii hapa kuna kituu inabbidi serikal iangalie kwa makini.
 
Kipindi chetuu mifumo hiii ya admission ilikiwa mzuri sana lakin miaka hiii haiwezekan mwanafunz anakosa chuo na sifa anazo kabisa ....
serikali inabidi iangalie kwa makin swala hili kama kungekuwa na MTU wa TCu humu ingefaaa sana pia na wwaandishi wa habari kuwasilisha haya mambo kwa jamii zetu watoto wetuu wanateseka sana hasa kama unaingia kwenye account na kukuta majibu ya ovyo ie enough capacity, enough space ..
mwanafunzi unachagua faculty tatu au NNE alafu unaambiwa zote zimejaaa kwelii hapa kuna kituu inabbidi serikal iangalie kwa makini.
Hata mimi nimeshangaa sana kk mkubwa haiwezekana umeweka course 4 alafu zote uk n sifa alafu et wanakutemaa daah naashangaa sana cjui tatizo ni nini?
 
Msaada jamani mwenye link ya second selection kwa udom udsm na mzumbe kila nikisearch sioni majina ya waliochaguliwa dirisha la pili
 
Msaada jamani mwenye link ya second selection kwa udom udsm na mzumbe kila nikisearch sioni majina ya waliochaguliwa dirisha la pili
Mzumbe na Udsm bado kabisa sijajuwa Udom hila Mzumbe system za data zao n pasua kichwa
Mwanangu alichaguliwa hawamu ya kwanza wakamtumia SMS lakini ukiingia kwenye account yake ya Mzumbe hajachaguliwa wakamwambia ajaribu awamu ya pili ndioo anasubiri na yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom