kwani DP world ina ukomo?Mbona hilo pdf halina tarehe, iliyotolewa?
Ngoja aje hapa na maelezo yakehahaha huu sasa uchokozi, Faiza alishatoa darsa kuwa huu sio mkataba ni makubaliano tu
Kama wengine walivyoondoka wakatushitaki tukalipa mabilioni au sioBunge limempinga Kitila Mkumbo hahahahaaView attachment 2697859
Kesi za lini?Huko twitter kuna video za kesi ya Migodi na wazungu dah hao maprofesa tunaosema nguli wanatia aibu kwakweli
mkuu, yule dada (wengine humwitaga Betina) daktari wa Sheria anaidhalilisha taaluma, basi tu. Utaalamu wake wa Sheria unasaidia kulitumbukiza taifa kwenye janga.Duh,hawa wasomi wetu ni hatari sana
swali zuriMkuu, naomba kujua nguvu ya Sekrateriet.
Je, inaweza kuilazimisha bunge kurejea na hata kufuta azimio la awali?
.mkuu, yule dada (wengine humwitaga Betina) daktari wa Sheria anaidhalilisha taaluma, basi tu. Utaalamu wake wa Sheria unasaidia kulitumbukiza taifa kwenye janga.
ni kwanini wanasiasa wamekuwa na nguvu kiasi hiki? wamewameza wataalamu kirahisi sana! D. Trump hakuwa anakosea kuita ~shithole countries~
JESUS SAVES
Miwili exactly: Legislative na Judiciary. Yote imeegemea kwenye kutekeleza maagizo/maelekezo ya Rais na serikali yake BILA kuzingatia Katiba, sheria na maamuzi ya wananchi.
Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....
1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki"
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano
7. Hakuna muda wa mkataba
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini
Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Yote ni muhimuwameshaaanza kuuliza authenticity ya nyaraka sio validity ya content
Unaweza ukawa mtego wa kupunguza ama kuondoa kelelekama kweli ni kamati ya Bunge imetoa maoni na mapendekezo haya niwape hongera sana.mmeliokoa taifa na janga kubwa
d. Muda wa utekelezaji Mkataba huu haujawekwa bayana, bali Ibara ya 231) inasema kuwa ukomo wa Mkataba huu ni mpaka hapo shughuli zamradi huu zitakapokuwa zimekamilika. Serikali iombwe kutoa ufafanuzikuhusu jambo hili la ukomo wa Mkataba.
maana yake ni mkataba wa milele mpaka Yesu arudipo
Siyo wapinzani mkuu. Sema wapenda nchi wameibuka kidedea. Waliyokuwa wakiupinga mkataba huu ni wananchi wenye vyama na hata wasiyo na vyama.Hebu mfanye kunisaidia kuwa-TAG wale wapiga zumari wa CCM popote walipo. UPINZANI wameibuka kidedea again, ushindi wa bureee.
Mi siamini, mpaka mpendwa FaizaFoxy aje athibitishe!Hebu mfanye kunisaidia kuwa-TAG wale wapiga zumari wa CCM popote walipo. UPINZANI wameibuka kidedea again, ushindi wa bureee.