Ana shida gani?Hapana ni shoga yangu nataka nimpeleke
Kuwa muwazi ili usaidiwe, nina maana kubwa kuuliza ana shida gani. Hata PM karibu maana nina connection kubwa ya mtumishi mkubwa sana wa Mungu hapo Arusha.Anataka aombewe tu.
Unazungumzia karibu na pale njia ya sinoni?au kituo cha daladala cha masista?Shuka ungalimited ukilipita kanisa katoliki la unfalimited kwa chini yake kuna kituo cha Charismatic kama sijasahau kinaitwa kituo cha St Joseph wanamaombezi mazuri. Pia wanalaza watu wanaotoka mbali au wanaotakiwa kupewa huduma ya uangalizi wa kiroho.
Wapo vizuri sana kuna masista na mapadri na watumishi wa kawaida..Ila ukilala utachangia chakula.
Kama upo interested niambie nikupe namva ya mtumishi mmoja akupe maelekezo ya vipindi vya maombezi na ibada
Kanisa la ECG ni kanisa litakalo kupa uponyaji na ukaokoka kabisaWakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake.
Asante
Shoga yako na wewe mjibebe muende wote mkapokee, Yesu sio wa kumuacha nyuma, atakupa mahitaji ya moyo wakoHapana ni shoga yangu nataka nimpeleke
Mwamposa maeneo hayo haji?Wakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake.
Asante
Kijana kumbe nawe upo Archuga,Shuka ungalimited ukilipita kanisa katoliki la unfalimited kwa chini yake kuna kituo cha Charismatic kama sijasahau kinaitwa kituo cha St Joseph wanamaombezi mazuri. Pia wanalaza watu wanaotoka mbali au wanaotakiwa kupewa huduma ya uangalizi wa kiroho.
Wapo vizuri sana kuna masista na mapadri na watumishi wa kawaida..Ila ukilala utachangia chakula.
Kama upo interested niambie nikupe namva ya mtumishi mmoja akupe maelekezo ya vipindi vya maombezi na ibada
Ndugu msaada wa yesu ni mpaka PM, si unamsaidia tu wazi wazi unaficha nini hizo connection?!!Kuwa muwazi ili usaidiwe, nina maana kubwa kuuliza ana shida gani. Hata PM karibu maana nina connection kubwa ya mtumishi mkubwa sana wa Mungu hapo Arusha.
Haaaaa Haaaaa 😂 kweliNjoo hemani kisongo kwa nabii mkuu Geo Davie hata kama una shida ya kutokuwa na nyege utapona tu wewe na huyo Shoga ako
Tazama hilo pozi la kihuduma la nabii mkuu uanze kupokea uponyaji sasa. View attachment 1500639
😂😂😂Njoo hemani kisongo kwa nabii mkuu Geo Davie hata kama una shida ya kutokuwa na nyege utapona tu wewe na huyo Shoga ako
Tazama hilo pozi la kihuduma la nabii mkuu uanze kupokea uponyaji sasa. View attachment 1500639