Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,489
- 42,564
Tumeshawasiliana PM.Ndugu msaada wa yesu ni mpaka PM, si unamsaidia tu wazi wazi unaficha nini hizo connection?!!
Tumeshawasiliana PM.Ndugu msaada wa yesu ni mpaka PM, si unamsaidia tu wazi wazi unaficha nini hizo connection?!!
huyu mchungaji kweli? mbna bishoo hiviNjoo hemani kisongo kwa nabii mkuu Geo Davie hata kama una shida ya kutokuwa na nyege utapona tu wewe na huyo Shoga ako
Tazama hilo pozi la kihuduma la nabii mkuu uanze kupokea uponyaji sasa. View attachment 1500639
Nabii ni wewe mwenyewe, Imani.Wakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake.
Asante
Nakuunga mkono inatakiwa tuwe na relationships nzuri na Mungu sio mpaka uombewe na nani, kumbe unaweza pia ukajiombea kwa imani na tatizo kuisha kabisaNabii ni wewe mwenyewe, Imani.
Soma Ebarania 11:32-33
Ebarania ni wakaazi wa lile bara jipya la barania?Nabii ni wewe mwenyewe, Imani.
Soma Ebarania 11:32-33
🤭🤭😆Kiatu Cha nabii nifayaaNjoo hemani kisongo kwa nabii mkuu Geo Davie hata kama una shida ya kutokuwa na nyege utapona tu wewe na huyo Shoga ako
Tazama hilo pozi la kihuduma la nabii mkuu uanze kupokea uponyaji sasa. View attachment 1500639
Naunga hoja kwa nguvu zote...! Kaa na Mungu wako omba usiku na mchana! Usk mkali amka omba eleza shida zako...!Nabii ni wewe mwenyewe, Imani.
Soma Ebarania 11:32-33
Watu wamezidiana karama ya uponyaji na nguvu za kiroho.Naunga hoja kwa nguvu zote...! Kaa na Mungu wako omba usiku na mchana! Usk mkali amka omba eleza shida zako...!
Mkuu samahani. Umewai ishi ArushaShuka ungalimited ukilipita kanisa katoliki la unfalimited kwa chini yake kuna kituo cha Charismatic kama sijasahau kinaitwa kituo cha St Joseph wanamaombezi mazuri. Pia wanalaza watu wanaotoka mbali au wanaotakiwa kupewa huduma ya uangalizi wa kiroho.
Wapo vizuri sana kuna masista na mapadri na watumishi wa kawaida..Ila ukilala utachangia chakula.
Kama upo interested niambie nikupe namva ya mtumishi mmoja akupe maelekezo ya vipindi vya maombezi na ibada
Huko huko Ngalelo?Ndipo napoishi mpaka sasa
The same thought here, mfano chukulia tu mimi kama baba mwanangu aende kumuomba baba mwingine aje kumuombea mahitaji yake kwangu, je mimi kama baba nitajisikiaje? Inapoteza kitu special hata kama nitamsikiliza, kwa Mungu sasa Ingawa Mungu wetu ni mwingi wa neema na rehema bado anafanya utendaji bado anatupa miujiza ila inatakiwa tujenge mahusiano ya karibu sana na Mungu na kujenga mazoea ya kuongea nae, yoyote anesoma hapa aelewe hili.Naunga hoja kwa nguvu zote...! Kaa na Mungu wako omba usiku na mchana! Usk mkali amka omba eleza shida zako...!
Nilijua kijana wa dar,Ulidhani nipo wapi mate.?
Okey nimekusoma mate, mi pia nipo arusha, tutatafutana maana wewe una kautumishi ndani yake, utakua mtu wa kwanza kuonana nae toka jfDar nakuja kutembea tu mate..
Sijui mkuuEbarania ni wakaazi wa lile bara jipya la barania?
Wakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake.
Asante