Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 994
Safina ndo mpango mzimaWakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake.
Asante
Safina ndo mpango mzimaWakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake.
Asante
Kuna watu wamejaliwa karama hadi unashangaa. Mm namjua rafiki wa mdogo wangu ana kama miaka 21 ila anauwezo mkubwa wa kuponya na maono kuliko hata wachungaji zake. Halafu alikua bishoo hatariiiii uhuni kwake. Bora roho wa Mungu kamshukia..aliwahi kumponya mama
Bora Jpm hata akila michango kuna flyovers,standard gauge rail,bombadiers tunaziona.
Wewe ukimpelekea hela gwajima anakuonyesha kitu gani zaidi ya kuwaonesha video yake akimfukunyua mrembo kwa kutumia hela zenu.
Anaeponesha ni Mungu PekeeWakuu Naomba kuuliza kwa hapa Arusha wapi tutapata Nabii, Padre atakaeweza kuombea mtu na akapona shida yake.
Asante
Naona unavyojichekesha chekesha ili upate bwana hapa
Naona litopic lina upako hadi umepata bwana,
Ndugu Hilo kanisa au biashara....Kanisa la ECG ni kanisa litakalo kupa uponyaji na ukaokoka kabisa
HahaaahSikushauri kabisa uende kwa 'mtukufu mheshimiwa na nabii Geor Davie"