Unataka ukiingia ufanyaje?Hongera san nataman kuingia mule ndani
Nipigwe teke wewe sina ubav ukute askari wa zamu Satoh Hirosh kanyimwa unyumba nitauliwaHahaa nenda tu, ukifika getini unawaambia umeenda kutoa pongezi kwa mama kwa kazi nzuri anayofanya😅
Hawawezi kukuzuia
sasa nifanyaje au unataka mzee mimi nipigwe na kijana mdogoUnalea mtoto vibaya
Uzi ushavamiwa na wamkoaniDar ndio mkoa mdogo kuliko yote tanzania haina ukubwa wowote
Exactly.Buza nilienda mara mbili, nilipenda hamna mlundikano wa watu na nyumba zimejengwa kwa mpangilio na watu wana maeneo makubwa sana.
Nipige pichaUnataka ukiingia ufanyaje?
Muambie akalale nowsasa nifanyaje au unataka mzee mimi nipigwe na kijana mdogo
🤣🤣🤣🤣na Tausi sioNipige picha
We si mtukutu,lazima utuogope.Mh atakama mm na mwanajeshi tofauti
Hahahaha wamefanyaje mkuu Hadi useme watu wake wamefanana na wa mkoani.Juzi nimefika sehemu inaitwa Mpiji magohe aisee kule sio dar ni mkoani.Hata watu wake wamekaa mkaoni mkoani eti kule ni dar nilichoka.
mwambie wewe mtoto wa mwenzio si ni wakoMuambie akalale now
Ndio kabisa pale.barazani🤣🤣🤣🤣na Tausi sio
Yule sio wangmwambie wewe mtoto wa mwenzio si ni wako
Nitarulia sasaiv sitaki ukorofWe si mtukutu,lazima utuogope.
🤣🤣🤣🤣 nikiwa RC wa mbwinde Lazima tuendeNdio kabisa pale.barazani
Anza kusapt Bandar kk🤣🤣🤣🤣 nikiwa RC wa mbwinde Lazima tuende