Uchaguzi 2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

Dua mbovu hizo zinazidi kufuta na kuviondoa vyama hivyo kwenye ulingo wa siasa.

Je, yule mgombea Urais aliyekuwa anaporomosha matusi kwenye kampeni?

Na kauli za kuchochea vurugu, kwa kisingizio cha "maandamano ya amani" zinazidi kuongeza chuki ya wananchi dhidi ya hao viongozi wenye uchu wa madaraka

Na kama hao viongozi hawabadiliki Uchaguzi Mkuu, 2025 watatoka kapa.

Rais Mteule atakapoapishwa na kufungua bunge, msikilize kwa umakini kuhusu Tanzania ya kesho.
Umeandika kipugwani kabisa...kuna Dua gani hapo?
Then mtu akitukana ni kosa kisheria, mlimshitaki?

Wote mmekuwa kama mwenyekiti wenu mwendawazimu
 
View attachment 1618016


UINGEREZA YATAKA UCHUNGUZI HURU UFANYIKE KUHUSU UCHAGUZI WA TANZANIA

Kulingana na taarifa iliotolewa na Uingereza na kuchapishwa tarehe mosi mwezi Novemba, Taifa hilo sasa linajiunga na mataifa mengine katika kuitisha uchunguzi huru ufanywe ili kuondoa wasiwasi unaozidi kuenea katika taifa La Tanzania

Waziri wa masuala ya Afrika James Duddridge amesema kwamba Uingereza inashangazwa na ripoti za ghasia na kiwango cha juu cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura ikiwemo suala zima la kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Amesema kwamba Uingereza pia ina wasiwasi kuhusu madai ya kuingiliwa kwa uchaguzi huo, kujazwa kwa kura katika masanduku ya kupigia kura na kuzuiliwa kwa mawakala wa vyama vya upinzani kuingia katika vituo vya kupigia kura.

Vilevile taifa hilo limeshangazwa na madai ya ripoti za ghasia na kiwango kikubwa cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura wakati wa uchaguzi, ikiwemo kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Kulingana na taarifa hiyo , Uingereza imesema kwamba kwa Tanzania kuwa dhabiti na kustawi katika siku za usoni , itahitaji mchakato wa kidemokrasia ulio huru na wa haki, unaoungwa mkono na vyombo vya habari vilivyo huru.

Source: BBC
Uchaguzi Mkuu Tanzania URUDIWE
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Hivi kwenye yale mambo yao ya jinsia moja pompeo ni ke au me?
 
View attachment 1618016


UINGEREZA YATAKA UCHUNGUZI HURU UFANYIKE KUHUSU UCHAGUZI WA TANZANIA

Kulingana na taarifa iliotolewa na Uingereza na kuchapishwa tarehe mosi mwezi Novemba, Taifa hilo sasa linajiunga na mataifa mengine katika kuitisha uchunguzi huru ufanywe ili kuondoa wasiwasi unaozidi kuenea katika taifa La Tanzania

Waziri wa masuala ya Afrika James Duddridge amesema kwamba Uingereza inashangazwa na ripoti za ghasia na kiwango cha juu cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura ikiwemo suala zima la kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Amesema kwamba Uingereza pia ina wasiwasi kuhusu madai ya kuingiliwa kwa uchaguzi huo, kujazwa kwa kura katika masanduku ya kupigia kura na kuzuiliwa kwa mawakala wa vyama vya upinzani kuingia katika vituo vya kupigia kura.

Vilevile taifa hilo limeshangazwa na madai ya ripoti za ghasia na kiwango kikubwa cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura wakati wa uchaguzi, ikiwemo kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Kulingana na taarifa hiyo , Uingereza imesema kwamba kwa Tanzania kuwa dhabiti na kustawi katika siku za usoni , itahitaji mchakato wa kidemokrasia ulio huru na wa haki, unaoungwa mkono na vyombo vya habari vilivyo huru.

Source: BBC
Na bado mtatoa matamko sana tu.
 
Dunia inaanza kufunguka matendo yao ya aibu yanazidi kuanikwa, uchaguzi ule haukuwa huru na wa haki hilo halina ubishi, yeyote anayetetea uhuni ule kwasababu yoyote ile ana matatizo ya akili.

Walidhani yatapita hivi hivi, sasa dunia imeanza kuwanyooshea kidole.

The option is simple; fanya wanavyoelekeza, kama hutaki subiri hatma yako, najua sasa huko lumumba hapakaliki, hapalaliki, hata hivi vibuyu vyao humu jf vinatetemeka.
Ahahaha pole sana mshikaji jamii forum ni tabibu kwa walioumizwa. Toa povu lote liishe humu. Maana ulivyomwepesi barabarani Huezi enda
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Hana akili,hivi anamsikia huyo rais wake anasemaje kuhusu huo uchaguzi wao?
 
Hakuna jipya.

Uozo umekuwepo siku zote.

Tatizo lenu mko wepesi wa kusahau.

Na mpaka kufika 2025, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau na mtashiriki tena uchaguzi chini ya mazingira haya haya ya leo, jana, juzi, na majuzi.

2015 Lowassa hakukubaliana na matokeo. Unabisha?

2010 Slaa hakukubaliana na matokeo. Unabisha?
Mbele ya ileee pesa ya ruzuku ya kampeni, wataachaje kujisahaulisha, kwa mfano?
 
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Tatu huyu beberu akicharuka, anachukua hatua halafu ana waambia wengine wote usipotuunga mkono basi na wewe tunakushughulikia. Haijalishi kama ana kosa au la-hayo yameikuta Iran na Zimbabwe kwa mfano.
Kila mbabe ana mbabe wake.
 
CCM imeteuliwa na wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm kwa njia haramu za kishetani hawakushinda kwenye sanduku la kura
Sera Zilizo wazi, kujirekebisha, kuwajali watu wa kada la chini, elimu bila malipo toka darasa la kwanza mpaka kidato cha nne , hospitali kubwa zaidi ya 300 nchi nzima.
ufufuaji wa safari za treni (zilizo nafuu) upigaji vita rushwa, uondoshwaji wa urasimu serikalini ni baadhi ya vitu vioovyorejesha imani ya wapiga kura (nikiwemo mimi).
Kejeli za wapinzani kuwa Madaraja, Hospitali , umeme vitapiga kura vimechochea zaidi wapiga kura wazalendo.
Mwisho lakini si kwa umuhimu ni kauli chokonozi kuwa mkishindwa uchaguzi mtaleta dhahma inewaogopesha zaidi wapiga kura hawa:

NB: Msisahau matamko na kauli zenu mzitoazo kwa lugha ya kigeni huku wapiga kura wengi hawafahamu lugha hiyo huku mkizitaja zaidi taasisi zenu kama Ubalozi, umoja wa ulaya na kuzisahau kabisa balozi za waafrika wenzenu ama jumuiya za waafrika wenzenu
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Acha. Ubwege ww marekani ni Nani mbona sisi hatuzungumzii uchaguzi wao
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Wasituzingue huko kwao Trump anafanya rafu za kufa mtu kwenye uchaguzi wao haongei lolote
 
Kwan Kwa Kim hakuna ukimwi na Kama upo mbona wanaishi?
Wewe unafikri ARVs ndo kigezo Cha Wao kutufanya lolote watakalo?
ARV ni mfano tu katika mengi.Hawa viumbe dawa yao kafa nayo Gadafi(kuunganisha Afrika kuwa nchi moja).Vinginevyo sioni kama tunawamudu.Kitendo cha kuwaita Wahisani mara Mabeberu ni ushahidi kwamba walitupa Uhuru wa bendera tu huku wakiwa wamekusudia kutuletea ukoloni mpya ambao binafsi naamini ni mbaya zaidi kuliko ule wa mijeledi.Labda waamue kupotezea tu.Wakikaza lazima tutafutane!
 
Back
Top Bottom